Anaomba pesa ya kununua makeup ndyo aje kwangu.

Anaomba pesa ya kununua makeup ndyo aje kwangu.

Mkuu hakuna raha kama kumuangalia, kumshika na kum'smell' mwanamke ambaye kila kitu-nywele hadi unyayo-ni gharama yako.
 
Unajisikiaje mwanamke wako kuja kukuona amejipamba na akapambika kwelikweli???


Hivyo basi ukiona vyaelea ujue vimeundwa.
Siku hizi yakipaka hayo mavitu yao unaweza jiuliza huyu mtu alitoka kuigiza movie ya Nsyuka au drakula
 
Mapodoz hayo yanawafanya some times wawe na sura za kutisha.

Na wengine ukiwashika wananata kama ulimbo
 
Mkuu hakuna raha kama kumuangalia, kumshika na kum'smell' mwanamke ambaye kila kitu-nywele hadi unyayo-ni gharama yako.
Inaweza kuwa gharama yako ila na wengine wananusa na kushika kwa gharama zako izo izo
 
Back
Top Bottom