Kwa kweli ashadii, mapenzi yanatufanyaga tuwe vipofuDah! Pole... Mapenzi Kizungu zungu.... Naomba soma post yako with a fresh eye...
utagundua kua sio wako tena for hakupendi... hio message alotumiwa ni minor saana
kusababisha yee aamue hufai....
Kweli kabisa, kila kitu kina sababu yake, huwezi jua amekuepushia niniDuh pole...ila things happen for a reason so ni kuendelea na maisha na in time utasahau na utapata mwingine
Kiukwel sifahamu aliyeituma ile msg ni nani na yeye pia hahumtambua, nilipomuomba namba ilotuma msg eti kaifuta na ilikua haijasajiliwa.achana nae mapema kabisa; huyo mbaya yaana kafikia kupandikiza hata msg hiyo ni feki ili apate sababu; nikuulize weye wamjua mtumaji msg? Usipotezemuda wako hapo tena!