Anaomba ushauri, achepuke?

Mkuu kwenye masuala hayo, mshauri wako ni nyoka,nyoka atashauri kama alivyomshauri Eva,mke wa Adamu.
 
Ukichepuka unadhani unamkomoa nani? We chepuka tu **** si yako
 
nadhani watu wa ting wangekutafuta ungewasaidia sana kuongeza mauzo ya king'amuzi chao, umejua kulitendea haki tangazo lako.
 
Njoo mama na mimi nina hasira hivyo hivyo amechepuka na ex wake
 
Ila jua kua ukichepuka na yeye akajua ndo ndoa itakua imeishia hapo.
Kama hukumsamehe ni kheri ungemchana mkaachana kuliko kulipiziana kijinga namna hiyo.
 
Kabla hujaenda, hebu tusomee PH level ya K yako inasoma ngapi! Tutajua cha kukushauri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…