Anaomba ushauri: Alitembea na mume wa mtu, akamtumia mkewe picha za uchi

Au ukiona ngumu, tafuta wahuni/vibaka wampore huyo mama sim kisha wakuletee uiharibu na itakua poa sana ingawa hii mbinu kidogo ni hatarishi maana ikitokea bahati nzuri wakakamatwa ama kujulikana lazima watakutaja.
Njia ya pili amtafute mshana brother ampe dawa. Akishika simu tu. Apagawe
 
Polee sana
 
Kwanza nashangaa kwanini uliamua kutukanana na huyo mke!! Ungeamua kubaki na ustaarabu wako yeye aongeee...Pili kwanini uliona umtumie picha ukiwa na mumewe faragha! Ni wazi hukuwa na nia njema na ndoa yao.Haya nawe umesalitiwa tena ndani ya familia yako!
Basi fanya uhame uishi mbali kabisa na mama huyo ili asijue maisha yako,au tafuta watu anaowaheshimu(mf wazazi wake)fanya taratibu mkae umuangukie akusamehe ukichagiza ule ulikuwa utoto tu na ulimbukeni.
Ila lolest!!
 
Hii mbona kama chai yenye mdalasini na tangawizi nyingi.
 
Kuna demu nilikuwa na uhusiano nae baada ya kumwacha akawa anatumia SMS fulani kwenye simu yake kuniharibia,nikamfanyia umafia kwa kutuma mtu aende ofisini kwake na kuiba simu yake bila ya yeye kujua,ikawa imeisha hiyo.
 
Au ukiona ngumu, tafuta wahuni/vibaka wampore huyo mama sim kisha wakuletee uiharibu na itakua poa sana ingawa hii mbinu kidogo ni hatarishi maana ikitokea bahati nzuri wakakamatwa ama kujulikana lazima watakutaja.
Picha na mavideo yapo kwenye Google drive huko na kwenye clouds hata ukiharibu simu ni kazi bure.

Ukishapiga hayo mapicha ya uchi ni msalaba umejibebesha maana yanaweza kuvuja anytime. Na mara nyingi mwanamke akishakutumia mapicha na mavideo hayo yq uchi jua kuwa hiyo ndiyo tabia yake na wewe siyo wa kwanza...na nyingine anafanya kukufowadia tu maana zilishatumwa kwa mabaharia wengine zipo zinazunguka huko 🚮🚮...na mtandao huwa hausahau kamwe!

Hapo suluhisho pekee ni kwenda tu kuomba msamaha wa dhati kwa huyo mke mwenza na mumewe akiwepo. Ikibidi apitie kwa wazee, viongozi wa dini n.k. lakini hili siyo jambo rahisi tu kama unavyoliweka hapa chifu....



 
Kupiga Picha za mtu za uchi Na bila idhini yake, kuzisambaza bila idhini yake Ni kosa la jinai-
Sijui madada wengine huwa akili zao wanazipeleka wapi. Demu alisha nifanyia hivi Na mpaka sasa yuko ananyea debe... Ni ujinga kungangania mme/ mke wa mtu Na akikuacha unafanya self destruct -kusambaza revenge porn... matope matupu kichwani Kwa wadada wa aina yako. Na Kwa kuchapisha humu- vijana wengi watakuogopa hata kukusogelea Kama wakikujua- wataku- pump Na kuku- damp full stop...chuja mambo yako ya faragha Na achana Na revenge porn- itakupa criminal offence ya bule bila mpango... kisa tu kulilia mkunyenge wa mtu...
 
Napata wanaume wazuri sana tena wananipenda lakini wakishatumiwa mapicha yangu wananiona kama kahaba nisaidieni
Sio wanakuona wewe ni kahaba kabisa. Apandacho mtu, huvuna.
 
Bado uko porini nini? Picha ziko kwenye Google siyo simu aki rudisha e-mail yake kila kitu kinarudi.
 
Kweli we kichwa maji eti mwanaume kani potezea muda, piiimbii wewe, si ulijua ana mke!!!? ufisi wako kungonya mkono udondoke. Nijibu hili swali ulimuacha kwa sababu muda umeenda au sababu alimpa.mimba, dada yako??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…