Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kijana anamiss kutembea njiani huku anakula kipande cha tikiti cha sh 200.....arudi tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie aache kazi arudi Dar. Yeye si anaona kuwa Dar ni deal muache akambane na hali yake. Yeye ni mtu mzima na huwezi kumlazimisha. Huenda ana kitu au bado hajajifunza maisha.View attachment 2941600
Dogo kamaliza chuo tu kapigiwa pande akapata kazi akapangiwa kituo mkoani.
Kanipigia simu anasema anataka kuacha kazi, sababu maisha ya MKOANI hayawezi.
Hivi mtu Kama uyo unamjibu nini ?
Mwambie aache KAZI halafu asije kukuomba msaada, KAZI zilivyokuwa ngumu hivi, chezea mshahara sio KAZI! Mikoani tulipakimbia kipindi hicho hakuna umeme, maji , barabara , benki nk Sasa hivi mambo yamebadilika karibia Kila kitu kipo huko mikoani Sasa yy anakimbia Nini! Mimi binafsi naplan kurudi mkoani baada ya miaka 5 ijayoView attachment 2941600
Dogo kamaliza chuo tu kapigiwa pande akapata kazi akapangiwa kituo mkoani.
Kanipigia simu anasema anataka kuacha kazi, sababu maisha ya MKOANI hayawezi.
Hivi mtu Kama uyo unamjibu nini ?
Huyo dogo ni mpuuzi.View attachment 2941600
Dogo kamaliza chuo tu kapigiwa pande akapata kazi akapangiwa kituo mkoani.
Kanipigia simu anasema anataka kuacha kazi, sababu maisha ya MKOANI hayawezi.
Hivi mtu Kama uyo unamjibu nini ?
Maisha ya Mkoani asikwambie mtu ni magumu kama umezoea DarView attachment 2941600
Dogo kamaliza chuo tu kapigiwa pande akapata kazi akapangiwa kituo mkoani.
Kanipigia simu anasema anataka kuacha kazi, sababu maisha ya MKOANI hayawezi.
Hivi mtu Kama uyo unamjibu nini ?
HahaKwanza ni wilaya gani
Muulize hayawezi kivipi, usikute kaishalazwa juu ya bati. Usimuhukumu kwanza.
Hawa madogo wasivyo na akili unaweza kukuta anakimbilia Demu aliyemwacha hapo IlalaView attachment 2941600
Dogo kamaliza chuo tu kapigiwa pande akapata kazi akapangiwa kituo mkoani.
Kanipigia simu anasema anataka kuacha kazi, sababu maisha ya MKOANI hayawezi.
Hivi mtu Kama uyo unamjibu nini ?
[emoji23][emoji23][emoji23] sanaaa yaanakarushe shanga Dsm
Mwambie sawa ili mradi uje na plan ya kuyaweza ya dar ikiwemo plan ya kifedha na kila kitu. Asije akasema ya mkoani hayawezi utadhani ya dar anayaweza kumbe anaishi kwa kuhudumia na watu bila hivyo nayo hayawezi.View attachment 2941600
Dogo kamaliza chuo tu kapigiwa pande akapata kazi akapangiwa kituo mkoani.
Kanipigia simu anasema anataka kuacha kazi, sababu maisha ya MKOANI hayawezi.
Hivi mtu Kama uyo unamjibu nini ?