mtoto wa kaka yangu nilimpa zinc ile ya gnld kuna maduka ya dawa wanauza rejareja na alikauka haraka sana, pia hata mimi nimetumia kukausha haraka mshono wa kujifungua, ni dawa inayokausha kidonda haraka
mtoto wa kaka yangu nilimpa zinc ile ya gnld kuna maduka ya dawa wanauza rejareja na alikauka haraka sana, pia hata mimi nimetumia kukausha haraka mshono wa kujifungua, ni dawa inayokausha kidonda haraka
Naomba unitajie dawa zote ulizotumia kwa mshono wako..itasaidia zaidi
ni za kumeza tuuAsante kwa mawazo yako hii ni ya kumeza au.?