Kama hauko hivyo (Sharobaro) it's hard to pretend. Then, it goes back to my previous point kuwa "uwe kama ulivyo, kama mtakuwa pamoja mtaweza kutengeneza bond, baada ya hapo kila mmoja wenu ataweza ku-pick kitu cha kupenda toka kwa mwenzie"Nimeupenda ushauri wako. Tatizo naona kama nikiwa msharobaro itaongeza maksi zangu haraka sana........Hebu niambie nitawezaje ku-mix jinsi nilivyo sasa na usharobaro mpya
Kama hauko hivyo (Sharobaro) it's hard to pretend. Then, it goes back to my previous point kuwa "uwe kama ulivyo, kama mtakuwa pamoja mtaweza kutengeneza bond, baada ya hapo kila mmoja wenu ataweza ku-pick kitu cha kupenda toka kwa mwenzie"
Siombei hivyo naheshimu ndoa ya mtu acha tu..............Ila ikitokea fursa nitakuwa mbinafsi wa moyo kuiacha
Unaheshima weye ndo maana nilisema weye ni mdogo wangu wa kiume nami nakutakia kila la heri katika kulipata ulitakalo ma dearest bro.
Binti mtaa wa 10 hivi toka hapa napoishi...mzuri na akili mkichwa si haba................Nimemuona mara kadhaa na kumtamani ingawa najua kidogokidogo naelekea kumpenda.
Hayo yote tisa, kumi anaonekana ni mtu anayehusudu vijana wenye lifestyle ya kisharobaro. Si kwamba ni malaya (angalau kwa uchunguzi wa awali) ila kutokana na maongezi ya hapa na pale, uvaaji wake, kuongea, muziki anaoupenda inaelekea ni mtu wa kuzimika na mwanaume wa aina hiyo.
Mimi ni kijana ingawa ni msikilizaji sana wa msondo, kupiga soga la kisiasa na mambo ya historia...bongofleva imenipitia kando kidogo. Uongeaji wangu wa kiutu-uzima japo naweza kuchomeka maneno machache ya "kimjini".
Sasa ombi wana MMU nipeni dondoo za kujibadilisha angalau kidogokidogo ili niwe na "swagger" za kisharobaro. Sitanii.
Wakatabahu
platozoom
Mwee, sidhani kama utaweza kujibadilisha aisee, we kama ni wa msondo bora utafute wa msondo kama wewe na kama ni kiu kunywa dafu tu, itaisha
Kweli wewe WALIMWEUSI..unaua kabisa
Binti mtaa wa 10 hivi toka hapa napoishi...mzuri na akili mkichwa si haba................Nimemuona mara kadhaa na kumtamani ingawa najua kidogokidogo naelekea kumpenda.
Hayo yote tisa, kumi anaonekana ni mtu anayehusudu vijana wenye lifestyle ya kisharobaro. Si kwamba ni malaya (angalau kwa uchunguzi wa awali) ila kutokana na maongezi ya hapa na pale, uvaaji wake, kuongea, muziki anaoupenda inaelekea ni mtu wa kuzimika na mwanaume wa aina hiyo.
Mimi ni kijana ingawa ni msikilizaji sana wa msondo, kupiga soga la kisiasa na mambo ya historia...bongofleva imenipitia kando kidogo. Uongeaji wangu wa kiutu-uzima japo naweza kuchomeka maneno machache ya "kimjini".
Sasa ombi wana MMU nipeni dondoo za kujibadilisha angalau kidogokidogo ili niwe na "swagger" za kisharobaro. Sitanii.
Wakatabahu
platozoom
Mimi ni m-demokrasia.............nimewaacha wajimwage. Haya nipe maujanja ya kisharobaro