Anapenda sharobaro style

Nimeupenda ushauri wako. Tatizo naona kama nikiwa msharobaro itaongeza maksi zangu haraka sana........Hebu niambie nitawezaje ku-mix jinsi nilivyo sasa na usharobaro mpya
Kama hauko hivyo (Sharobaro) it's hard to pretend. Then, it goes back to my previous point kuwa "uwe kama ulivyo, kama mtakuwa pamoja mtaweza kutengeneza bond, baada ya hapo kila mmoja wenu ataweza ku-pick kitu cha kupenda toka kwa mwenzie"
 
Kama hauko hivyo (Sharobaro) it's hard to pretend. Then, it goes back to my previous point kuwa "uwe kama ulivyo, kama mtakuwa pamoja mtaweza kutengeneza bond, baada ya hapo kila mmoja wenu ataweza ku-pick kitu cha kupenda toka kwa mwenzie"

Kifupi ni mvumilivu hula mbivu...dah!
 
Siombei hivyo naheshimu ndoa ya mtu acha tu..............Ila ikitokea fursa nitakuwa mbinafsi wa moyo kuiacha

Unaheshima weye ndo maana nilisema weye ni mdogo wangu wa kiume nami nakutakia kila la heri katika kulipata ulitakalo ma dearest bro.
 
Unaheshima weye ndo maana nilisema weye ni mdogo wangu wa kiume nami nakutakia kila la heri katika kulipata ulitakalo ma dearest bro.

Mnafaidi aisee....kwa mfano miye usiku huu na baridi hii nateseka tu! ningekuwa na msharobaro wangu mbona msingeniona kwenye sredi! Ila nashukuru na inanitia moyo ulisema weye ma'mdogo lakini saa hizi mdogo wako.....Huwezi jua baadaye nikapanda daraja.
 
Lol! Anza kuvaa sarawili kata k uone. Na ukiongea usisahau kusema 'like' kila baada ya kivumishi na 'u know' kila baada ya kinyambulisho
 
lol! Shurti kwa swagger za kisharobaro vinginevyo huoni ndani kwa kimwana 🙂🙂...Haya bana kila la heri.





 
Last edited by a moderator:
BAK hii kitu ya sonique naiweka kwenye "diary". asante
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
inaonyesha hutaki ushauri,umeshapenda

Sio hivyo kisukari ni kujaribu tu kutafakari ndio maana samtaim nakuja na kujiuliza. Usifikiri sipati kitu kutokana na ushauri wako............Ila kiu ya moyo kujua haiishi.
 
Last edited by a moderator:
Mwee, sidhani kama utaweza kujibadilisha aisee, we kama ni wa msondo bora utafute wa msondo kama wewe na kama ni kiu kunywa dafu tu, itaisha
 
Last edited by a moderator:
We Platozoon ungekuwa mdogo wangu ningekutandika bakora,yaani unasogoa na wanawake wa jf wakuelekeze namna ya kutongoza? Kha!
 
Last edited by a moderator:
We Platozoon ungekuwa mdogo wangu ningekutandika bakora,yaani unasogoa na wanawake wa jf wakuelekeze namna ya kutongoza? Kha!

Mimi ni m-demokrasia.............nimewaacha wajimwage. Haya nipe maujanja ya kisharobaro
 

duh mkuu umenichekesha kushenzi ningekugonga like yaan maan ckutegemea..kama mwisho ndio ungesema hivi...
 
Last edited by a moderator:
Imbombo ngafu, mademu sijui akili zao aje unakuta demu ukiongea nae anasema ooh sipendi masharobaro afu mwisho wa siku wanaangukia kwa hao hao masharobaro.
 
Imbombo ngafu, mademu sijui akili zao aje unakuta demu ukiongea nae anasema ooh sipendi masharobaro afu mwisho wa siku wanaangukia kwa hao hao masharobaro.

Ndio maana mimi nimeshtukia mchezo
 
tabia yako mbaya hujitambui umesimamia wapi na itakugarimu stnd kiasilia acha maisha ya sinema hapa love si kuacha umakini na kufata ujinga nikushape pale penye uzaifu wewe unataka mazaifu acha apate hao masharo wa ukweli na wewe tafuta ndege wa aina yako mruke pamoja hutaki amua nyumbani usilete hapa mabishano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…