Anapodai ushuhuda wa kupendwa........

Mkuu, Ulimwelewa kweli Kongosho?
Muulize main account ipi anayotaka password yake!
kyaiyembe nikimlegezea masharti atanitawala mie nimemshtukia...............

Kyaiyembe unaona mbali sana yawezekana sikumwelewa nimechukulia kijuujuu sana......................Kongosho hebu tufafanulie hiyo password ya main account zimekaaje hizo mbona waniacha kwenye mataa.....
 
Last edited by a moderator:
Rutashubanyuma, wacha nimhudumie mkoloni wangu kwanza bana asije akaninyonya mate, hapa. I will come back to you, na utaenjoy, lol. Tkae this less serously again, lol

bombu una lako jambo kila mara waelekea una haraka haraka zisizo na baraka tulia na kauli yako isikike.................
 
Last edited by a moderator:
 
bombu una lako jambo kila mara waelekea una haraka haraka zisizo na baraka tulia na kauli yako isikike.................
Rutashubanyuma,

sina haraka mie mtoto wa kike,
Nakwambia nimetulizana kike,
lol, Sina papara na wala sina makeke.
Ngoja nitulie, ili nsikike....kwa msemo wako.

Ushauri wako nimeusikia, kazi nitaufanyia
 
Last edited by a moderator:
Mwenzangu hakufai hata chembe....................cha kujiuliza hayo mambo kayapata wapi?............ Hapo si pa kukaa hata kidogo...........whaat?....... ...yaani anakuja na request nzito kama hiyo we bado unajishauri?

lemonade au nimsikilize yaishe tu ingwaje kwa shingo upande?
 
sina haraka mie mtoto wa kike,
Nakwambia nimetulizana kike,
lol, Sina papara na wala sina makeke.
Ngoja nitulie, ili nsikike....kwa msemo wako.

Ushauri wako nimeusikia, kazi nitaufanyia

bombu hebu nieleze unafikiri anataka nimtembelee wapi hata kunifanya nishike tama?
 
Last edited by a moderator:
Labda hajielewi so you need to show are that you care so much by going beyond yale anayojitakia
yapi mengine zaidi jamani, inaelekea ruta keshajitutumua awezavyo, labda binti anataka line ta tiGo! mpe ruta!
 
 
yapi mengine zaidi jamani, inaelekea ruta keshajitutumua awezavyo, labda binti anataka line ta tiGo! mpe ruta!

cacico sina lakuongezea hapo.................................duh
 
Last edited by a moderator:
Usiwe mkali dada, mimi na wewe tumewekwa kwenye boma!
Ruta aweza kutufumba, yawezekana anatakiwa amtembelee kivilevile ili wapate matunda ya matembezi yao!.

Kyaiyembe labda lemonade keshajua kutembelewaje?
 
Last edited by a moderator:
Kyaiyembe nikimlegezea masharti atanitawala mie nimemshtukia...............
Mkuu jiamini, mtembelee tena haswa ili aone kuwa unajua kutembea haubahatishi! ukifanikiwa kwa hilo atakuheshimu kuwa mtiifu.
maana umesema mwenyewe kuwa

"Mengi nimeyafanya kisa kumpendezesha nafsi yake bila zengwe!
Mengi nimeyafanya kisa kumthibitishia ni yeye tu na hana mpinzani!
Mengi nimeyafanya kisa kumvuta naye alainike na kunilegezea masharti!
Mengi nimeyafanya kisa kutafuta uhalali wa kukubalika kwake tu!
Anapodai ushuhuda wa kupendwa huku akitoa na maangalizo yake!"

Sasa nina wasiwasi ukishindwa hapo yote uliyofanya itakuwa ZERO.
Chonde "obwato bugwa ahamagoba" usikubali kushindwa!.
 
Tatizo maneno mengi yasiyo na matendo
Kwake yeye haridhiki na yako maneno
Fanya hima upate tendo
Maneno kwake hutoyaona kamwe
 

Kyaiyembe nikimsikiliza naona huko mbele atanielemea lol
 
Last edited by a moderator:
Tatizo maneno mengi yasiyo na matendo
Kwake yeye haridhiki na yako maneno
Fanya hima upate tendo
Maneno kwake hutoyaona kamwe

Mr Rocky matendo mengi kafanyiwa lakini nionavyo hajiamini mpaka afanyiwe tendo kubwa kulikoni ya yote yale anadai hapo ndipo atajua ya kuwa sitamwacha......lol
 
Last edited by a moderator:
Haikuwa kwa ajili yangu lakini ningependa uendelee.....................! nimekuwa shabiki ghafla.

nakwambia Kyaiyembe ya kuwa bombu anakuja juu kwenye haya matenzi ya mahaba hata mie sasa nimekuwa shabiki wake bila ya kujijua..lol
 
Last edited by a moderator:
Mr Rocky matendo mengi kafanyiwa lakini nionavyo hajiamini mpaka afanyiwe tendo kubwa kulikoni ya yote yale anadai hapo ndipo atajua ya kuwa sitamwacha......lol


Rutashubanyuma kiini cha tatizo sio kwamba hujafanya
Umefanya mengi ila kuna kimoja hujafanya nacho ni cha muhimu
Yaani wewe unaonekana unazunguka zunguka tuu hujafika anakokutaka
Ndo maana alilia tendo lionekane
hayo mengine ni kama kuweka maji kwenye chakula ukaacha chumvi
Hata uongeze maji na mafuta na nyanya na vitunguu vipi kama hujatia chumvi hujafanya kitu
 

Mr Rocky hata nikimtendea hilo nahisi bado atakuja na linginelo..........tatizo lake hajiamini nionavyo tu.......ninapwaswa kushughulikia hilo vinginevyo I will be chasing shadows.......
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…