Anapopita Magufuli hamlali njaa

Anapopita Magufuli hamlali njaa

Wizi kwenye bandari TPA 😂😂😂.... ungekuwa unatuarifu na Haya pia tungeturahi.
 
Wizi kwenye bandari TPA 😂😂😂.... ungekuwa unatuarifu na Haya pia tungeturahi.

Noma sana, hawa ni mfupa uliomshinda fisi, yaani shtukiza shtukiza zote zile na mpaka leo bado wanapiga hela!!!
Halafu siasa za Tz bana, upande mmoja upo kwenye kampeni za 2020 ilhali upande mwengine wamebanwa wasikusanyike hata watatu.
 
Noma sana, hawa ni mfupa uliomshinda fisi, yaani shtukiza shtukiza zote zile na mpaka leo bado wanapiga hela!!!
Halafu siasa za Tz bana, upande mmoja upo kwenye kampeni za 2020 ilhali upande mwengine wamebanwa wasikusanyike hata watatu.
Ni kama uhuru alipokuwa akizindua miradi kabla ya kuingia term ya pili! Sasa anaandamana na RAO kisa hamtaki Ruto!
 
Noma sana, hawa ni mfupa uliomshinda fisi, yaani shtukiza shtukiza zote zile na mpaka leo bado wanapiga hela!!!
Halafu siasa za Tz bana, upande mmoja upo kwenye kampeni za 2020 ilhali upande mwengine wamebanwa wasikusanyike hata watatu.
Ukipatikana umevaa khaki sheeda, ukipatikana umevaa kijani Ni misifa na mapambio 😂
 
hahaa if a is equal to b and is equal to c.....algebra mambo leo uswahilinii!
 
Wivuuuuuu....Someni comments za wakenya katika hizo video, wote wangependa kuhamia Tanzania. Katika hotuba zote za Magufuli, wakenya wanafuatilia kwa wingi kuliko watanzania, kama ilivyo katika video za Diamond, mwisho mkasema wakenya ndio walio mtangaza Diamond duniani, sasa hivi muda sio mrefu mtasema wakenya ndio wanaomtangaza Magufuli.

Uncle Magu, hawa wakenya ulipochaguliwa walisema ni nguvu za soda utachoka, sasa wanabaki kutafuta visingizio, wewe kanyaga twende, wakenya 80% wanakukubali sana, wanaomba ukimaliza kipindi chako uende ukawanyooshe "Failed state".
 
Kweli mkubwa yaani kasema (mke wangu unatuchangia ngapi?(mkewe kapewa mike kasema milioni moja.mume akase"ziteo sasa hivi mkabidhi kiranja"mke nae kugeuka tuu naona anatoa zipo kabisa kwenye bahasha na kuhesabu inaonyesha zilikuwa zishapangwa kabisa[emoji2][emoji2]
Mbona hizo pesa kidogo acha tu hao watu wana pesa 1m hawahitaji kupanga....dili zote kubwa wanapiga peke yao
 
Wivuuuuuu....Someni comments za wakenya katika hizo video, wote wangependa kuhamia Tanzania. Katika hotuba zote za Magufuli, wakenya wanafuatilia kwa wingi kuliko watanzania, kama ilivyo katika video za Diamond, mwisho mkasema wakenya ndio walio mtangaza Diamond duniani, sasa hivi muda sio mrefu mtasema wakenya ndio wanaomtangaza Magufuli.

Uncle Magu, hawa wakenya ulipochaguliwa walisema ni nguvu za soda utachoka, sasa wanabaki kutafuta visingizio, wewe kanyaga twende, wakenya 80% wanakukubali sana, wanaomba ukimaliza kipindi chako uende ukawanyooshe "Failed state".
Let's comments hapa hata screenshots wacha longolongo
 
Wizi kwenye bandari TPA 😂😂😂.... ungekuwa unatuarifu na Haya pia tungeturahi.
 
Wizi kwenye bandari TPA 😂😂😂.... ungekuwa unatuarifu na Haya pia tungeturahi.
Hii taarifa si umeikuta humu? Sasa unataka utaarifiwe na huyo tu sababu ni mmeo au?
 
Hakuna kitu Kama hicho ngoja nitakupikia a yatakayijiri katika Uzi huo...ukweli umekuuma Babaa.
 
Back
Top Bottom