Anapopita Magufuli hamlali njaa

Anapopita Magufuli hamlali njaa

Kweli mkubwa yaani kasema (mke wangu unatuchangia ngapi?(mkewe kapewa mike kasema milioni moja.mume akase"ziteo sasa hivi mkabidhi kiranja"mke nae kugeuka tuu naona anatoa zipo kabisa kwenye bahasha na kuhesabu inaonyesha zilikuwa zishapangwa kabisa[emoji2][emoji2]

kwani shida iko wap?
 
Let's comments hapa hata screenshots wacha longolongo

mbna zmejaa youtube, we angalia speech za magufuli wakenya hawapo behind: haujakatazwa kufurahi kinachoendelea kwa jirani yako
 
Back
Top Bottom