Maskini wa kutupwa huyo joto la jiwe hata chupi hawezi jinunulia. Mwaswast tuma hio screenshot.
Mbona inakuwasha na SI wewe umeombwa ama unasikia wivu mwanamke mwenzangu? Wacha umbea shughulika na ya kwako.Weee ni mwanaume kweli!? Unataka unataka mwanaume mwenzako akununulie bando!!!? Halafu unadai!!?
Uombe na ya kutolea.
Masikini wa kutupwa omba omba Hana kakitu.Amekimbia
Mbona inakuwasha na SI wewe umeombwa ama unasikia wivu mwanamke mwenzangu? Wacha umbea shughulika na ya kwako.
Noti ya 1,000 haikuwa imetolewa enzi hizo uchaguzi wa '92, hiyo ya 500 ndio walikuwa wameizindua. Ukipewa hizo noti kadhaa mara kwa mara unapandwa na stimu za KANU hadi unamsaliti jirani, eti sio mwanachama na ni kibaraka wa maadui wa Kenya na eti anamsema vibaya Nyayo. [emoji1] Kuna wajomba zangu walinipeleka kwenye hafla ya chama nikiwa mdogo na kila mara nikipatana nao huwa nawakumbusha kuhusu enzi hizo, ili niwaudhi.Nyimbo enzi zile tuliimba "kwekwe shambani mwa nyayo na zilimwe"
I didn't know this, 1k zimetokea 92. Thanks for the info 😃Noti ya 1,000 haikuwa imetolewa enzi hizo uchaguzi wa '92, hiyo ya 500 ndio walikuwa wameizindua. Ukipewa hizo noti kadhaa mara kwa mara unapandwa na stimu za KANU hadi unamsaliti jirani, eti sio mwanachama na ni kibaraka wa maadui wa Kenya na eti anamsema vibaya Nyayo. [emoji1] Kuna wajomba zangu walinipeleka kwenye hafla ya chama nikiwa mdogo na kila mara nikipatana nao huwa nawakumbusha kuhusu enzi hizo, ili niwaudhi.
Dikteta ni dikteta tu, hata Moi pia alitangulia kwa kufanya makubwa chini ya kauli yake ya Nyayo. Mashamba ya majani ya Nyayo Tea Zones, mradi wa usafiri wa Nyayo Bus, miradi ya kuzuia mmomonyoko wa udongo na kuboresha ukulima, hadi kukawa na maziwa ya Nyayo, bure kwa wanafunzi wote nchini n.k. n.k. Ila kupenda kusifiwa na kutopenda kabisa kukashifiwa na kutupilia mbali utawala wa sheria na katiba ndio ilikuwa swag yake. Kama tu huyu mwenzake.
Unataka nikutumie kiasi gani?Amekimbia
Mtaweweseka sana, Africa nzima wakiwemo 80% ya wakenya wanamkubali. Magufuli is the best African president, hata wewe unalijua na kukubaliana na ukweli huo, wivu ndio unaowasumbua wakati wakenya wengi wanaomba Magufuli ikiwezekana awe rais wa Kenya, wakiongozwa na Gavana Sonko.Dikteta ni dikteta tu, hata Moi pia alitangulia kwa kufanya makubwa chini ya kauli yake ya Nyayo. Mashamba ya majani ya Nyayo Tea Zones, mradi wa usafiri wa Nyayo Bus, miradi ya kuzuia mmomonyoko wa udongo na kuboresha ukulima, hadi kukawa na maziwa ya Nyayo, bure kwa wanafunzi wote nchini n.k. n.k. Ila kupenda kusifiwa na kutopenda kabisa kukashifiwa na kutupilia mbali utawala wa sheria na katiba ndio ilikuwa swag yake. Kama tu huyu mwenzake.
Unataka nikutumie kiasi gani?
Mtaweweseka sana, Africa nzima wakiwemo 80% ya wakenya wanamkubali. Magufuli is the best African president, hata wewe unalijua na kukubaliana na ukweli huo, wivu ndio unaowasumbua wakati wakenya wengi wanaomba Magufuli ikiwezekana awe rais wa Kenya, wakiongozwa na Gavana Sonko.
Noti ya 1,000 haikuwa imetolewa enzi hizo uchaguzi wa '92, hiyo ya 500 ndio walikuwa wameizindua. Ukipewa hizo noti kadhaa mara kwa mara unapandwa na stimu za KANU hadi unamsaliti jirani, eti sio mwanachama na ni kibaraka wa maadui wa Kenya na eti anamsema vibaya Nyayo. [emoji1] Kuna wajomba zangu walinipeleka kwenye hafla ya chama nikiwa mdogo na kila mara nikipatana nao huwa nawakumbusha kuhusu enzi hizo, ili niwaudhi.
Wakenya mna shida yaani hata kusoma comment YouTube hamna mb !!!!? Kwanini msifungue hizo video kisha mkazizuia zisi play mkaenda moja kwa moja kwenye commentUmeambiwa uweke screenshots ama hio Ni technology ngumu kwa Danganyika kuitambua?[emoji24][emoji24]
Tatizo hamna uwezo wa kutazama video, mnaogopa "bundle" litakata, umasikini wenu msijaribu kutuambukiza, ninyi ni watu masikini sana, hata kuangalia Youtube ni shida.
Bwaaaahhhh !!!!! Komora hana data ya kuangalia video YouTube !!!!!!Si wewe uliyesema ya kwamba wakenya ndio wengi wanomfuatilia magufuli na diamond hko youtube...
Hv una akili timamu kwel
Kwanini asimtumieMkuu akikutumia screenshot
Kwahiyo magufuli anaporomosha uchumi !!! Wewe jiulize kwanini wazungu wanaogopa kumsema vibaya na mikopo wanambembeleza kampatia licha ya kuwa bana kwenye madini na kukataa mashariti yao mfano kujenga Kwa bwawa la Umeme hadi mkenye mwenzenu MK254 aliwai kuuliza na kuleta Uzi akisema kwanini mabeberu wanamyeyekea magufuli licha ya kuwafanyia ukaidi hao mabeberuNdio kawaida ya madikteta. Dikteta wetu Moi aligawa bunda za hela kila sehemu alipoenda na tulipogutuka miaka 24 ilikuwa imepita na uchumi ulikuwa umeporomoka. Kwasababu ya hii noti hapa.Hii noti ya 500 ambayo ilipewa jina la utani 'Jirongo' kwa heshima ya mwenyekiti wa vijana wa KANU, YK '92, ilichapishwa kwa wingi na Moi hadi thamani ya KES ikashuka. Cyrus Jirongo na viongozi wengine wa umoja wa vijana wa KANU walichukua noti hizi moja kwa moja kutoka benki kuu na magunia kwenye boot za gari zao. Tena usiku wa manane kama movie vile. Mungu ni mkubwa kwasababu mwishowe ulofa ulituisha sisi wakenya na tukamchinja jogoo. Majirani mnalo aisee, kama hamtajifunza kutoka kwa wenzenu. Endeleeni tu kukata viuno na kuimba nyimbo za kusifia na kukuza miungu watu.
Moi ilkua ukimsifia tu unamwagiwa hela, kila kijiji akitua anamwaga hela..
Tulipogutuka miaka 24 imeenda hvo..
Kila siku nawaambia wakenya wasubili mwakani siyo mbali mtaona kama magu anafanya utoto au la. Pale mtakapo wasikia mabeberu wakitoa takwimu za juu kiufanisi kila nyanja Kwa TZ kuanzia utalii wanyamapoli misitu nishati madini Afya rushwa ,matumizi bora ya Pesa za serikali , bandari , vituo vya mabasi ,kilimo nk .mabeberu yataiweka tz no 1 licha ya magufuli kutokuwapigia magoti .mfano tangu magufuli ashike nchi mambo yafuatayo tumeyasahauNdio kawaida ya madikteta. Dikteta wetu Moi aligawa bunda za hela kila sehemu alipoenda na tulipogutuka miaka 24 ilikuwa imepita na uchumi ulikuwa umeporomoka. Kwasababu ya hii noti hapa.Hii noti ya 500 ambayo ilipewa jina la utani 'Jirongo' kwa heshima ya mwenyekiti wa vijana wa KANU, YK '92, ilichapishwa kwa wingi na Moi hadi thamani ya KES ikashuka. Cyrus Jirongo na viongozi wengine wa umoja wa vijana wa KANU walichukua noti hizi moja kwa moja kutoka benki kuu na magunia kwenye boot za gari zao. Tena usiku wa manane kama movie vile. Mungu ni mkubwa kwasababu mwishowe ulofa ulituisha sisi wakenya na tukamchinja jogoo. Majirani mnalo aisee, kama hamtajifunza kutoka kwa wenzenu. Endeleeni tu kukata viuno na kuimba nyimbo za kusifia na kukuza miungu watu.