Anasema anatafuta dawa amnase huyu mwanaume

Anasema anatafuta dawa amnase huyu mwanaume

Mimi sijaelewaga sababu ya wanawake kulinga linga hivi huwa ni nini...Sababu mwingine unamfuata wote mpo single anakuchomolea nje anatafuta mwingine huko,Au anakukubalia kisha anawapanga wote wawili,ila yule mwenzangu anakuwa captain kiongozi,kiasi kwamba pale unapogundua ukweli na kumwambia unaambulia mitusi na michano then anakutema,hapo anakuongezea hasira za kupambana.Ila baadaye mtu huyuhuyu ananitafuta,na anapokuta nimeshajiattach pengine na mbaya zaidi ana mtoto atadai turudiane... Huwa najiuliza hivi huwa wanawaza kuwa kuna mwanaume mjinga kiasi hicho!!!! Nyie wadada acheni kulinga ovyo ovyo.
Point

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wanawake wajifunze kuwa na akiba ya maneno.

Kila siku nasema hii battle ya opposite sex wanawake hatuwezi shinda unless we are a step ahead kiakili.

Men have every advantage over us. They are born hunters. They know their prey very well and they always have smart tactics up their sleeves to make sure they corner their prey.

And they rarely have anything to lose.
Una kingereza kitamu Sana bidada[emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi huwa nawaangaliaaa halafu nawasonya tu!!wanawake eleweni kuwa wanaume hatukuumbwa kuwa na mwanamke mmoja!!!hizi dini zinatunyima mamlaka yetu ya asili!!!
 
Kuna vibwanga duniania aisee, unaweza ukawaza mpaka usipate jibu

Huyu mdada akiwa na umri wa miaka 20 aliwahi kutongozwa na mwanaume mwenye umri wa miaka 38 hivi,lakini huyu dada alimkataa kwa kumpa sababu kuu mbili

1. Sababu ya Kwanza unanizidi umri mbali sana, yaani inapaswa wewe uwe mzazi wangu

2. Una familia yako na mke wako, siwezi kuingilia familia yako

Basi mwanaume akawa ameridhika na majibu ingawa awali binti alikuwa anapokea vizawadi na hela ya matumizi kabla hajampa jibu la hivyo

Binti akawa ameingia kwenye mahusiano na mwanaume mwingine miaka 25 hivi mpaka wakaoana wakaenda kuishi mkoa mwingine. Baada ya miaka miwili binti karudi ana mtoto na maisha yamempiga hatari,hadi muda mwingine anawaza ajiuze ili mwanae ale na avae maana baba yake alisha toweka akaingia mikoani huko

Sasa binti amekuwa anatumia njia za kuomba watu wamwambie huyu mwanaume mwenye familia yake yule ya mwanzoni wawe kwenye mahusiano. Mbaba anamwambia siwezi kuwa na wewe maana umewahi kunikataa na sababu nzito

Binti anadai alikuwa hana akili kipindi hicho, hata hivyo mbaba amemkataa ila cha ajabu binti anawambia watu mtaani kuwa anatembea naye. Cha ajabu zaidi anawasiliana na mganga mmoja wa kienyeji ili ampe dawa amnase mbaba wa watu na kuwauliza wanawake wengine wampe dawa au njia ya kumnasa huyo mbaba awe chini yake

Mbaba anafanya juu chini mambo hayo yaishie mitaani yasije yakamfikia mke wake yakaleta mtafaruku kwenye familia yake

Yaani mambo yanaenda kwa kasi kwenye hii dunia. Na nyie wanaume mkome kutongoza ovyo
Pole yake
 
Back
Top Bottom