Anasimulia Mwanachama Wa Simba na Ambae aliwahi kufanya Kazi Kwenye Makampuni Mohammed Dewji

Anasimulia Mwanachama Wa Simba na Ambae aliwahi kufanya Kazi Kwenye Makampuni Mohammed Dewji

Naomba nikiri mimi ni Mwanachama wa Simba na nilishwahi kufanya kazi kwenye moja ya makampuni ya huyu anayejiita YOUNG BILLIONAIRE (si lolote si chochote).

Niliwahi fanya kwenye kampuni ya 21st CENTURY ,kisha mkataba wangu ukaamishiwa kampuni la EAST COAST akaniamishia tena mkataba wangu kwenye kampuni ya ROYAL DETERGENTS kote huko lengo ni kupunja maslahi yangu ajira ya mwanzoni

Kwa msiomjua Mo -Dewji na hujawahi kufanya kazi kwenye makampuni yake au kwenye taasisi zake unaweza kumlaumu Mzungu na unaweza kupuuza yale malalamiko ya Haji Manara wakati alipolalamika alivyofanya kazi na Bw.Mo

Kwa kifupi Mo-Dewji ni mnyanyasaji mkubwa wa wafanyakazi wake na mtu asiyefuata sheria za mikataba ya kazi.

Kwa makampuni ya Mo uwa hafukuzi wafanyakazi pale anapokuchoka anatumia watendaji wake kuanzisha hila na chokochoko ili uondoke mwenyewe na aminye haki zako za msingi.!

Limenitokea mimi, limemtokea Haji Manara na linamtokea mzungu.

Kwanza siku Manara aliposema alikuwa analipwa 700k nilishangaa sana mimi kumzidi mshahara, nilikuwa nalipwa 800k Kwa,Mwezi.

Yaani mimi wa kumzidi Manara mshahara wakati,Manara alifanya kazi Closed na Bwana Mo-Dewji.

Mshahara wangu ulishuka kutoka 1.5m mpaka 750k,kila nilipoamishiwa kampuni na kuanza upya mkataba wa ajira,nilishtuka nikaondoka kwa style ya MZUNGU.

KUHUSU KUCHANJWA MZUNGU.

Sina hakika kama ameongea hivyo.KAMA NI KWELI alisema hayo,sishangai,kwani hata mimi wakati nafanya kwa Bw.Mo ,ilikuwa ni kawaida kuvunjwa nazi viwandani zenye maandishi ya kiarabu na tulilishwa vipande hivyo vya nazi.
.
Na ilikuwa ni LAZIMA ukikataa huna kazi au alichinjwa Mwanakondoo kwenye geti kuu la viwanda na nyama tuligawiwa.!

Kwa hiyo yote kwa yote yanawezekana.
We jamaa mfitini kweli kweli.
 
Mbona unatuimbia mashairi ambayo hayana vina na mizani kafie mbele utopolo
 
Sasa mzungu alikuwa na mkataba na MO au Simba

Acha chuki mzee embu kunywa maji afu urudie kusoma ulicho andika
[emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
 
bangi mbaya sana mkuu alikuwa analipwa m 1.5 ikashuka 75 afu hapo 80 hapa kuna walakini maskini hajawahi kumwombea tajiri mema mda mwing anawaza kunyanyaswa hana lingne
🙂 🙂 🙂
 
Mbona unatuimbia mashairi ambayo hayana vina na mizani kafie mbele utopolo
Hata uku kwenye timu yetu CEO ameajiriqa analipwa mamilioni ya pesa ila sisi na hakina Ahmed tunalipwa laki 7 tu!
 
Sipendi kumsema mtu vibaya
Usiamini kila unachokiona mengi ni nguvu ya propaganda
 
Wwe uto kajambe mbele huna lolote na unayoyaongea hayana ukweli hata kidogo. Ninae jamaa yangu ni supervisor hapo METL na anakunja mkwanja mrefu tu! Hajawahi kulalamika kuhusu ishu hizo hata siku moja
Wanaolalamika si wale wenye elimu uchwara mtu kaishia la saba anataka alipwe kama mtu mwenye elimu ya juu 😂😂😂 sitaki kutoa ushahidi ila hakuna kulazimishwa kula nazi na swala la kuchinja mbuzi ni kawaida alafu mo ni mtu anaetaka ufanye kazi sio kulalamika fanya kazi atimize wajibu wake over.
 
Linguistic : " Nilikuwa nalipwa 800k Kwa Mwezi."

Linguistic : "
Mshahara wangu ulishuka kutoka 1.5m mpaka 750k.

Swali: Ulikuwa unalipwa kiasi gani?
Maskini toka lini akafurahia tajiri kupata? Mwwnyewe kachanganyikiwa hajui alikua analipwa bei gani😂😂😂😂😂
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kama ulikua huisaidii kampuni ulienda kusubiri kula vipande vya nazi na nyama ya kondoo ni haki yako kutolewa nduki
 
Naomba nikiri mimi ni Mwanachama wa Simba na nilishwahi kufanya kazi kwenye moja ya makampuni ya huyu anayejiita YOUNG BILLIONAIRE (si lolote si chochote).

Niliwahi fanya kwenye kampuni ya 21st CENTURY, kisha mkataba wangu ukaamishiwa kampuni la EAST COAST akaniamishia tena mkataba wangu kwenye kampuni ya ROYAL DETERGENTS kote huko lengo ni kupunja maslahi yangu ajira ya mwanzoni.

Kwa msiomjua Mo -Dewji na hujawahi kufanya kazi kwenye makampuni yake au kwenye taasisi zake unaweza kumlaumu Mzungu na unaweza kupuuza yale malalamiko ya Haji Manara wakati alipolalamika alivyofanya kazi na Bw. Mo.

Kwa kifupi Mo-Dewji ni mnyanyasaji mkubwa wa wafanyakazi wake na mtu asiyefuata sheria za mikataba ya kazi.

Kwa makampuni ya Mo uwa hafukuzi wafanyakazi pale anapokuchoka anatumia watendaji wake kuanzisha hila na chokochoko ili uondoke mwenyewe na aminye haki zako za msingi.!

Limenitokea mimi, limemtokea Haji Manara na linamtokea mzungu.

Kwanza siku Manara aliposema alikuwa analipwa 700k nilishangaa sana mimi kumzidi mshahara, nilikuwa nalipwa 800k Kwa,Mwezi.

Yaani mimi wa kumzidi Manara mshahara wakati,Manara alifanya kazi Closed na Bwana Mo-Dewji.

Mshahara wangu ulishuka kutoka 1.5m mpaka 750k,kila nilipoamishiwa kampuni na kuanza upya mkataba wa ajira,nilishtuka nikaondoka kwa style ya MZUNGU.

KUHUSU KUCHANJWA MZUNGU
Sina hakika kama ameongea hivyo.KAMA NI KWELI alisema hayo,sishangai,kwani hata mimi wakati nafanya kwa Bw.Mo ,ilikuwa ni kawaida kuvunjwa nazi viwandani zenye maandishi ya kiarabu na tulilishwa vipande hivyo vya nazi.

Na ilikuwa ni LAZIMA ukikataa huna kazi au alichinjwa Mwanakondoo kwenye geti kuu la viwanda na nyama tuligawiwa.!

Kwa hiyo yote kwa yote yanawezekana.
Kwa hiyo hata Simba walivyowasha moto uwanjani SA walikuwa wanaiga matendo ya boss?
 
Back
Top Bottom