Anasubiria walisahau Ili ajiuzie ndio maana amelificha kichakani

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Wajua kwa vijana wa hawawezi amini ya kuwa wizi katika taasisi za umma hasa ubadhilifu wa Mali za umma ilikuwa ni miongoni mwa maadili ya watumishi wa umma Ili waajiriwe.

Yaani kuna kipindi Ili upate ajira serikali I ulitakiwa kusema wazi yakiuwa wewe upo tayari kuwa kibaka ndo unapata ajira.

Ndivyo ninavyoweza sema ya kuwa yale yaliyokemewa na Mwendazake Sasa yanarudi kwa Kasi sana

Inawezekana usielewe kile Nina sema to make stor shot ni hivi

Kuna gari aina ya Landcruiser hapo wilaya ya Moshi vijijini imewekwa juu ya jiwe Ili lisionekane mtaani Ili baadae kigogo mmoja aje ajiuzie hilo gari.

 
"Nendeni mkale kulingana na urefu wa kamba zenu".
 
Huenda hata ilishauzwa kitambo
 
Gari kama hili ndio Lissu alikuwa akililalamia kuwa kuna watu wanamfuatilia kwa muda mrefu kabla ya kupigwa risasi.
 
Kweli kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…