Ushirombo
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 3,558
- 2,702
hi..!
Mzee wangu anasumbuliwa sana na miguu,yaani akivaa viatu tu hata masaa 2 akivua basi miguu kuanzia magotini hadi unyayo unaota vitu kama vipele hivi vinawasha,then vile vipele vinakua kama mtu alieungua moto so vinaacha alama kama mtu alieungua moto, naombeni kwa mwenye tiba au ushauri anisaidie,tusha pima pressure iko normal,huwa nawaza labda sababu ya kuendesha baiskeli kwa miaka mingi
Mzee wangu anasumbuliwa sana na miguu,yaani akivaa viatu tu hata masaa 2 akivua basi miguu kuanzia magotini hadi unyayo unaota vitu kama vipele hivi vinawasha,then vile vipele vinakua kama mtu alieungua moto so vinaacha alama kama mtu alieungua moto, naombeni kwa mwenye tiba au ushauri anisaidie,tusha pima pressure iko normal,huwa nawaza labda sababu ya kuendesha baiskeli kwa miaka mingi