Anatafuta kazi ya udereva popote

Kwa aina hii ya Tangazo kijana atasugua sana bench, Umeelezea juu juu tuu, Umesema anataka kazi ya udereva lakini haujatuambia
1)qualification ya kijana, jee ana cheti cha veta,
2)driving licence na hiyo licence ina madaraja mangapi,
3)Haujaweka mawasiliano

Hebu weka hizo info nuhimu kwenye hilo tangazo lako ,tuje kulisoma tena upya
 
Anavyo vyote mkuu kama una nafasi nikuunganishe na kijana mkuu
 
Aiss...umenivuruga hats sijaelewa...ngoja wenye A waje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…