hbr wana JF.
nina mdogo wangu anatafuta kazi ua udereva, ana driving licency class A, B & D. (lesseni mpya)
zumbemkuu kuna sehemu wanataka dereva ila ni kibarua kutoa gari bandarini ,sasa wanataka classE maana gari ni dizaini nyingi,anyway mwambie anitumie email gsana6@gmail.com ntamuelekeza ajaribu. Nb: hawataki mdokozi,pia malipo ni sh.elf8 kwa siku,yuko tayari nitafute fasta kazi nje nje!
utanunua lini mkuu?