sasa huzo koo za kiarabu na kihindi zinavyokuwaga na ubaguzi na watu weusi itakuwaje hapo?!!Yeye kasoma chuo cha kiislamu ila baba yake muhindi mama yake muharabu
yeye mwenyewe mzaramo yani black ndiyo maana anajuwa kiarabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye mweusi ila kalelewa na hizo koo wamemwambia aoe yeyote anae mtaka baada ya kumkataa single Mather walio mchagulia waosasa huzo koo za kiarabu na kihindi zinavyokuwaga na ubaguzi na watu weusi itakuwaje hapo?!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwaze mkuu jamaa akileta mahari nitakununulia sabuni
sio kweli, me nina sket nyingi mno,Usiwaze mkuu jamaa akileta mahari nitakununulia sabuni
hatarii hiiHabari za majukumu ndugu.
Nina Rafiki yangu Ameniambia nitamfutie mke
Nimetafuta mtaani hapa Nimekosa Nimeamua kuleta Tangazo humu MMU.
Sifa za mwanamke
Elimu Darasa la saba mpaka form 4 asizidi Elimu zaidi ya hapo
Umri 25/28.
Dini Muislamu
Asiwe mwembamba sana wala kibonge sana.
Sifa za Mume.
Elimu ya Dini
Umri 25
Urefu wakawaida
Rangi ya ngozi maji ya kunde
Kazi mfanya biashara.
Kazaliwa Dar kakulia Dar
Ahsanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app