Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Ana chura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Kama hivyo tu, anakaa na shemela na dada
Chura ndo Nini?Ana chura?
Tako!Chura ndo Nini?
Frog humjui kweliChura ndo Nini?
Na inavyoonekana wewe wa visiwani hebu ungepiga picha kalio lipo,sio naingia kichwakichwa vitako kama dereva wa mwendo kasi.Ni msichana wa miaka 25 mwenye maadili mema anatafuta mume kuanzia umri miaka 30-45. Mwenye hofu na mungu na mwenye maadili mema awe anaishi dar au Zanzibar alietayari pm.
Hujibu PM boss au ashapatikani tupunguze mafuliko[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Chura namfaham ila yeye sikufaham amemanisha Nini kusema chura anae.Frog humjui kweli
Poleee sio kosa lako.Na inavyoonekana wewe wa visiwani hebu ungepiga picha kalio lipo,sio naingia kichwakichwa vitako kama dereva wa mwendo kasi.
Anafanya kazi dstv ni customer care cjui weyeAnakazi au anataka kuwa a housewife
Sio dhambi mke wapili Kaka ipo ndani ya din yetu ya kiislam mradi ufate taratibu za kidini.mm nataka mke wa pili nipo tunguu znz
Hata akiwa wa nne Hana shida ipo ndani ya din yetu kikubwa jinsi ya kuwapa taarifa wake zako na kufata yote diniHuyu candidate hataki kuwa mke wa pili kabla hatujafunga safari ya kwenda PM mbona sisi watu wa Unguja kwa umri huo hatukosi wake kuanzia 2 kwenda mbele.
Tukikosa sifa tutamuombea pia hata dua apate hitajio lake .
MashaAllah, huyo anahitaji kweli mume tena awe muumini kwani anahitaji malipo ya uchaMungu.Hata akiwa wa nne Hana shida ipo ndani ya din yetu kikubwa jinsi ya kuwapa taarifa wake zako na kufata yote dini
Naaam maalim si uongo.MashaAllah, huyo anahitaji kweli mume tena awe muumini kwani anahitaji malipo ya uchaMungu.
Siku akibadili gia angani ya Mikoani unijulishe.Ni msichana wa miaka 25 mwenye maadili mema anatafuta mume kuanzia umri miaka 30-45. Mwenye hofu na mungu na mwenye maadili mema awe anaishi dar au Zanzibar alietayari pm.
Kweli kabisaTatizo tulio wengi hatuna hofu ya mungu