Anatafuta mume

Anatafuta mume

Status
Not open for further replies.
Ni msichana wa miaka 25 mwenye maadili mema anatafuta mume kuanzia umri miaka 30-45. Mwenye hofu na mungu na mwenye maadili mema awe anaishi dar au Zanzibar alietayari pm.
Hiyo hofu ya Mungu inakuwaje
 
duuuh we dada lakini majibu yako tu nachoookaaaa... ! huyo mume sijui mtawezana kweli ukimpata hata kama watu wanacomment ovyo usijibu hivo ujue sifa mojawapo ya mwanamke mwenyesifa za kuolewa ni unyenyekevu na upole sasa kama unatabia ya kuwa na jazba hivo eeeh utawezana kweli na mume coz mwanaume ni mtawala na hiyo sifa ni Mungu mwenyewe katupa sisi wanaume sasa ukiwa unamjibu kwa jazba mumeo mtafika kweli? aya kila la kheri
 
Ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa imepiga marufuku matangazo kama haya.
 
duuuh we dada lakini majibu yako tu nachoookaaaa... ! huyo mume sijui mtawezana kweli ukimpata hata kama watu wanacomment ovyo usijibu hivo ujue sifa mojawapo ya mwanamke mwenyesifa za kuolewa ni unyenyekevu na upole sasa kama unatabia ya kuwa na jazba hivo eeeh utawezana kweli na mume coz mwanaume ni mtawala na hiyo sifa ni Mungu mwenyewe katupa sisi wanaume sasa ukiwa unamjibu kwa jazba mumeo mtafika kweli? aya kila la kheri
Kheri na kwako pia in sh Allah!
 
Ningekuwa na dada angekuwa nayo mpaka sasa ila mbaya zaidi tupo madume wanne vp dada yako ana bikra au alishachomolewa na madereva toyo?
We kweli punga loh wakiitwa watoto wa kiume na wewe utatoka? Et Toto la kiume Lina comment utumbo kwa post isomuhusu nenda katafuta marijali uko wakufonyoe vutu ilo[emoji57] [emoji57]
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom