Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vigezo ninavyo ila ninakula kitimoto kama hutajali njoo pm tuyajengeUnamjua mtu kutokana na tabia zake
Jina lenyewe ni Sauda Rajabu, na limeshaakisi ni muislamu, na waislamu tunakazaaa balaaa hili sio ombi ni lazima awe muislamu, na hata kama ukisema utabadili dini siku hizi huwa watu wanajidai wanabadili harafu wakishaoa badae wanatafuta sababu wanarudi walipotoka. Hii ni military order lazima awe muislamu na tena mwenye hofu ya Mungu, na no alchohol, no cigaratee, no cha arushaa, no vimada.Wanaotaka awe mke wa pili wasubiri maombi yao utawekwa kwenye fourth selection. Over........ 💪💪💪💪💪💪😁😁😁Awe Muislam
Uzuri kuanzia engine hadi body ni full mjapana haijawekwa hata spare part moja ya mchinaAwe mzuri sasa
Duh.... Mkuu samahani basiJina lenyewe ni Sauda Rajabu, na limeshaakisi ni muislamu, na waislamu tunakazaaa balaaa hili sio ombi ni lazima awe muislamu, na hata kama ukisema utabadili dini siku hizi huwa watu wanajidai wanabadili harafu wakishaoa badae wanatafuta sababu wanarudi walipotoka. Hii ni military order lazima awe muislamu na tena mwenye hofu ya Mungu, na no alchohol, no cigaratee, no cha arushaa, no vimada.Wanaotaka awe mke wa pili wasubiri maombi yao utawekwa kwenye fourth selection. Over........ [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji16][emoji16][emoji16]
Anaetafuta mwenye bikra na yeye ni lazima awe hajawai, na lkn kakuambia kwa karne hii mtoto wa kike kutokuwa na bikra ni jambo la kawaida, Sauda hana wala dada ake hana,ukitaka majibu mengine zaidi mfuate pm , hapendi kukasirishwa sana Sauda kama hivyo 🙏🙏🙏🙏Bado unatumia hisia kujibu! Atakayesoma hii comment atakuona jinsi gani hauna busara ok anyway wachana na maswala mengine ya nguvu za kiume,na ukhanisi turudi kwenye swali ,
Vipi ana bikra dada yako?
Sjajua una maana gani ila ni kuwa jina jijua mimi binafsi na ndo maana nikamwambia kama ana bikra nipo tayari kuoa !Anaetafuta mwenye bikra na yeye ni lazima awe hajawai, na lkn kakuambia kwa karne hii mtoto wa kike kutokuwa na bikra ni jambo la kawaida, Sauda hana wala dada ake hana,ukitaka majibu mengine zaidi mfuate pm , hapendi kukasirishwa sana Sauda kama hivyo [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Niliongea lugha ya kiutuuzima hapo na wewe umejibu kiutuuzima kwa kusema unajijua mwenyewe umeeleweka hapo. Ngoja akitoka msikitini atakujibu vizuri zaidi InshaAllah.Sjajua una maana gani ila ni kuwa jina jijua mimi binafsi na ndo maana nikamwambia kama ana bikra nipo tayari kuoa !
Sent from my SM-J200F using JamiiForums mobile app
Mkuu nimecheka ujue!Punguza umri...hafu watu wa dar hawaoi..
wanagegeda na kusepaBali wanaolewa au?
Tako!
Find me 0765235408Ni msichana wa miaka 25 mwenye maadili mema anatafuta mume kuanzia umri miaka 30-45. Mwenye hofu na mungu na mwenye maadili mema awe anaishi dar au Zanzibar alietayari pm.
Hiyo hesabu ya faster ni wachache wa kuipiga Aiiiseeeee!45 - 25 = 20.
Wale watu wa hesabu nafikiri nimepatia hiyo hesabu.
Kweli women are smarter than men. Twendeni taratibu hawa wanawake mkitaka mjue wanaakili kutuzidi huwa wanatumia saikolojia kutupumbaza.
1. Kabinti kuolewa na babu ni sawa kabisa na sio ajabu ila sugar mamy kulea kakijana ni haramu tena wanawake wakijua unalelewa wata wao wanaita kuchamba. Hapa wanatupumbaza kisaikolojia na waliweza.
2. Wanawake wamefanya waonekane wao ni watamu kutuzidi... nitaendelea akiniruhusu kuandika.
Nakutakia la kheri mdada.
Kunya anye kuku akinya Bata kahara mavi yake yananuka Sana eeee.Mleta mada ana matusi sana, nimefikisha suala hili kwa uongozi.
si useme tu kwamba ni weweNi msichana wa miaka 25 mwenye maadili mema anatafuta mume kuanzia umri miaka 30-45. Mwenye hofu na mungu na mwenye maadili mema awe anaishi dar au Zanzibar alietayari pm.
Niko kwny ndoa mwaka wa pili Sasa.si useme tu kwamba ni wewe
dah nmepoteza bahatiNiko kwny ndoa mwaka wa pili Sasa.
Ndio maana huolewi.Kunya anye kuku akinya Bata kahara mavi yake yananuka Sana eeee.