Anatafutwa Binti mwanadar es salaam asiye na halaka ya ngono

Safi sana wote wangekuwa hivyo jiji la dar tungekuwa mbali. Bigup man.
 
kha ......Watu mme MIZENGO. aaarrrghhhhhhhhhh.........:frusty::frusty::frusty:
 
Acha uongo! Inawezekana sana 2!inategemea na nyie wahucka km mna hofu ya mungu au vipi!
Mfano,Mi na mtarajiwa wangu hatujawahi kikutana na wala hatuna mpango huo till ndoa

ku-onja-na muhimu, lasivyo mtauziana mbuzi kwenye gunia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…