Anatafutwa Mining Sorveyour haraka sana

Anatafutwa Mining Sorveyour haraka sana

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
40,828
Reaction score
99,523
1. Nimepewa kazi ya kumtafuta mining Sorveyour mwenye uzoefu usio pongua miaka 2 akiwa kwenye mining industry.

2. Nikimpeleka mimi hatokua na usaili kwasababu ninaaminiwa na General Manager.

3. Atafanya kazi kwenye mgodi mdogo na mpya ambao ndio unaanza.

4. Mshahara hautopungua 1.5M (itategemeana na atakavyo jiuza na mimi nitakavyo muuza) with fully accommodation kula na kulala.

5. Kwakua atakua ni mtu wa kwanza kwenye kada hiyo, atahusika na kupendekea vifaa ama wakati mwingine ununuzi wa vifaa na mahitaji ya kitengo chake.

6. Na kwakua mgodi upo kwenye development (ila mambo yetu yaleeeee tayari yashaanza kuonekana..😋).
Sharti la mimi kumpeleka ni kwamba lazima anilipe 1,000,000 na hii sio rushwa bali ni malipo ya udalali kwasababu sihitaji matashtiti.

7. Mwenye uhitaji aweke namba yake PM nitampigia (labda nitamfanyia usahili mimi mwenyewe)
 
Huyu Ushimen mwongo sana. Wewe suliaga ukasema hutakaa upost uzi tena, mbona huna msimamo. Mwenzako infantry solder ana msimamo
 

Nimekua member kwa miaka iliyo changamka....

Rasmi nimeamua kustaafu kwa hiyari....

Wote niliowahi kuwakwaza kwa kusudi ama kwa kutokusudia naomba waniwie radhi kama bin adam sijakamilika...

Najua nilikua na maskhara, wapo walio kwazika na pia wengine walinizowea....

Jf nimeishi kwa miaka 15 sasa kwa ujumla (pamoja na ID yamgu ya kwanza)....

Ukweli Jf imenikutanisha na marafiki wengi wa faida na wasio faida haukua mpango wa Mungu....

Kupitia Jf nilipata pesa na nikafanya mambo makubwa pamoja na kupata pesa za hapa na pale (kwakweli sikuwahi kukosa pesa nikingali Jf) na kwahili sina cha kuwalipa....

Jf ilikutanisha na warembo wa dunia, sikuzile tulikulana kwa heshma, adabu na utii....
Na mengi yalikua mema..

Ushauri:-
Pamekua na member wengi wenye michango ya haja hapa jamvini na member hao wameikuza Jf kwa simulizi na michango yao. Tatizo member hawa wamejiona kana kwamba wanaitumikia Jf kwa faida pasipo wao kufaidika kwa chochote.

Ebu mkubwa Max watazame kwa jicho la mwewe hawa jamaa wanao leta/shusha nondo na simulizi za haja kama Akili Sina sipengine wapate moyo na nguvu tena na tena ili kuongeza member na wasomaji.

Kuna wengi wamepotea kwasababu zisizo na maana ama kwa kibri chenu kama Infinix Soldiers, Habibu Hanga, Mtambuzi, Mshama Jr, Lara 1, Mama Jr, Malaria Sugu, Mzizi Mkavu, Kasie, Atoto na wengine nilio wasahau.

Mengi mnasemwa huku nje, lakini nahisi wengi wanahofia kuwaambia ukweli ama vile wanavyo jisikia.

Rasmi nimeaga na nitabakia kua msomaji pekee
giphy-gif.2242902
 

Nimekua member kwa miaka iliyo changamka....

Rasmi nimeamua kustaafu kwa hiyari....

Wote niliowahi kuwakwaza kwa kusudi ama kwa kutokusudia naomba waniwie radhi kama bin adam sijakamilika...

Najua nilikua na maskhara, wapo walio kwazika na pia wengine walinizowea....

Jf nimeishi kwa miaka 15 sasa kwa ujumla (pamoja na ID yamgu ya kwanza)....

Ukweli Jf imenikutanisha na marafiki wengi wa faida na wasio faida haukua mpango wa Mungu....

Kupitia Jf nilipata pesa na nikafanya mambo makubwa pamoja na kupata pesa za hapa na pale (kwakweli sikuwahi kukosa pesa nikingali Jf) na kwahili sina cha kuwalipa....

Jf ilikutanisha na warembo wa dunia, sikuzile tulikulana kwa heshma, adabu na utii....
Na mengi yalikua mema..

Ushauri:-
Pamekua na member wengi wenye michango ya haja hapa jamvini na member hao wameikuza Jf kwa simulizi na michango yao. Tatizo member hawa wamejiona kana kwamba wanaitumikia Jf kwa faida pasipo wao kufaidika kwa chochote.

Ebu mkubwa Max watazame kwa jicho la mwewe hawa jamaa wanao leta/shusha nondo na simulizi za haja kama Akili Sina sipengine wapate moyo na nguvu tena na tena ili kuongeza member na wasomaji.

Kuna wengi wamepotea kwasababu zisizo na maana ama kwa kibri chenu kama Infinix Soldiers, Habibu Hanga, Mtambuzi, Mshama Jr, Lara 1, Mama Jr, Malaria Sugu, Mzizi Mkavu, Kasie, Atoto na wengine nilio wasahau.

Mengi mnasemwa huku nje, lakini nahisi wengi wanahofia kuwaambia ukweli ama vile wanavyo jisikia.

Rasmi nimeaga na nitabakia kua msomaji pekee
giphy-gif.2242902
Huu uzi uliandikaga wewe Ushimen ukasema basi yatosha. Au wewe ni tapeli. Mnapotoa ahadi tekelezeni msifanye vitu kwa mihemko kutaka sifa mbele za watu tukuone wewe ni hero kana kwamba tutakumis, acha upuuzi
 
Bila shaka unamaanisha SURVEYOR

Wenye taaluma zao wanakuja!
 
1. Nimepewa kazi ya kumtafuta mining Sorveyour mwenye uzoefu usio pongua miaka 2 akiwa kwenye mining industry.
2. Nikimpeleka mimi hatokua na usaili kwasababu ninaaminiwa na General Manager.
3. Atafanya kazi kwenye mgodi mdogo na mpya ambao ndio unaanza.
4. Mshahara hautopungua 1.5M (itategemeana na atakavyo jiuza na mimi nitakavyo muuza) with fully accommodation kula na kulala.
5. Kwakua atakua ni mtu wa kwanza kwenye kada hiyo, atahusika na kupendekea vifaa ama wakati mwingine ununuzi wa vifaa na mahitaji ya kitengo chake.
6. Na kwakua mgodi upo kwenye development (ila mambo yetu yaleeeee tayari yashaanza kuonekana..😋).
Sharti la mimi kumpeleka ni kwamba lazima anilipe 1,000,000 na hii sio rushwa bali ni malipo ya udalali kwasababu sihitaji matashtiti.
7. Mwenye uhitaji aweke namba yake PM nitampigia (labda nitamfanyia usahili mimi mwenyewe)
Uhuni tupu
 
Kwanza wewe unapata wapi kiburi cha kutukana wakubwa zako?

Mbona uzi wako uliukimbia?
Mtoto anamihemko ya ugumu wa maisha (ndio sababu hakauki jukwaa la ajira).
Kuna umri tunapaswa kujifunza kuvumilia watoto wa wengine kwasababu hata siku moja watoto wetu pia watavumiliwa kwa kutoa matusi kwenye mema wanayo tendewa na wazazi wa wengine..😊
 
Back
Top Bottom