Anatafutwa mpenzi baadaye aje kuwa mke

Utani yaani simba na swala ni watani toka lini hii 😁😁😁
🀣🀣🀣 hata pm anasomaaa anacheka akiona vipi anazifuta ndio maana hata na mie sikaagi na PM nikamaliza chart na mtu nafuta... mie sina hatari yoyote . hapa napiga tu maneno basii.. kula chuma hicho
Your browser is not able to play this audio.
 
🀣🀣🀣 hata pm anasomaaa anacheka akiona vipi anazifuta ndio maana hata na mie sikaagi na PM nikamaliza chart na mtu nafuta... mie sina hatari yoyote . hapa napiga tu maneno basii.. kula chuma hicho
View attachment 2677355
Ko hata huu uzi wako si kweli aisee nilikuwa nataka kuja pm ili niolewe na huyo rafiki yako ila nimegailiii πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…