National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
- Thread starter
- #261
anasoma hapa huku anachekaaa kweli kweli π€£π€£Inapendeza mpe salamu shemeji yetu π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anasoma hapa huku anachekaaa kweli kweli π€£π€£Inapendeza mpe salamu shemeji yetu π
nitaenda nae pollanda mkuu π πHuendi tena polland
Yaani unasoma comments za Mpenzi wako akiwa bizze na Wanawake wengine moyo huo sina πππ π kwanini mpendwaaa...
Weka namba ya jamaa tumpigiesie mimi bana π€π€
Oky kila LA kheri.kuna kukana imani hakuna mahusiano na kuwa weak au storng... Ndio maana inakupasa usome ili upate cheti , lakini pia unaweza usisome ukabaki unapambana kwa njia zingine ...
mke wangu anajua mie ni mtu wa utani , kuna kipindi comments zingine anaandika yeye, tunabaki tunachekekaaa...Yaani unasoma comments za Mpenzi wako akiwa bizze na Wanawake wengine moyo huo sina ππ
Akiweka naomba uni tagπWeka namba ya jamaa tumpigie
Sasa hakuna picha unasema ni wewe
namba pm, huwezi weka namba public hapaWeka namba ya jamaa tumpigie
Sasa hakuna picha unasema ni wewe
Utani yaani simba na swala ni watani toka lini hii πππmke wangu anajua mie ni mtu wa utani , kuna kipindi comments zingine anaandika yeye, tunabaki tunachekekaaa...
namba PM mpendwaAkiweka naomba uni tagπ
π€£π€£π€£ hata pm anasomaaa anacheka akiona vipi anazifuta ndio maana hata na mie sikaagi na PM nikamaliza chart na mtu nafuta... mie sina hatari yoyote . hapa napiga tu maneno basii.. kula chuma hichoUtani yaani simba na swala ni watani toka lini hii πππ
Weka hapa tumpigie huyo mchumba .namba PM mpendwa
mpendwa unapajua PM njoo tu π π πWeka hapa tumpigie huyo mchumba .
Ko hata huu uzi wako si kweli aisee nilikuwa nataka kuja pm ili niolewe na huyo rafiki yako ila nimegailiii ππππΆπΌββοΈπ€£π€£π€£ hata pm anasomaaa anacheka akiona vipi anazifuta ndio maana hata na mie sikaagi na PM nikamaliza chart na mtu nafuta... mie sina hatari yoyote . hapa napiga tu maneno basii.. kula chuma hicho
View attachment 2677355
Basi bwana we pm zetu za mitongozo kumbe unamuonesha wifiii yetu huku anatuchora tu jukwaani mfyuuu zako π¬π¬πΆπΌββοΈπΆπΌββοΈmpendwa unapajua PM njoo tu π π π
Njoo bana PM. nifungulie basi nije. nkupe namba π πKo hata huu uzi wako si kweli aisee nilikuwa nataka kuja pm ili niolewe na huyo rafiki yako ila nimegailiii ππππΆπΌββοΈ
fungua Pm .. nikupe nambaWeka namba ya jamaa tumpigie
Sasa hakuna picha unasema ni wewe
Akuuuuu sitaki kuchekwa na my wiiii π¬Njoo bana PM. nifungulie basi nije. nkupe namba π π