National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
- Thread starter
-
- #21
PM zikiwa nyingi nitashare na wewe broHata mi Kuna rafiki yangu anatafuta mke kama kuna mwanamke Yuko tayari anicheki ila itategemeana akiwa mzuri Sana itabidi awe wangu akiwa wa kawaida ntampa jamaa yangu
Na ataki kuelewaNaona kabisa amedhamiria kumuua jamaa yake
Kwa hiyo unamaanisha nini kuhusu warembo wetu wa hapa JF?Akiwa π£ lawama utabeba na upo tayari? Mke hapatikani mtandaoni labda kma anataka changu doa atawapata
Siwezi mkosea heshima kwa ku expose ID yakeAnaitwa nani
Bas aje nimpe dada angu ila awe na mpunga sanaDuh! Jamaa yupo smart sana aki uelewe mchuchu lazima watapima kila kitu ..
Jamaa wanasikitisha sana, sijui wana wachukuliaje dada zetu warembo wa humuKwa hiyo unamaanisha nini kuhusu warembo wetu wa hapa JF?
Ah wee tafuta alafu utupe mrejeshoHuku kuna nini kwani mtaalamu ? Mbona mnaweka gingi nyie ma chief
UTI af wanadanga kama wapo kwa wahaya wanakazi ya kupiga picha makalio na kuwapostia wanaume pmKwa hiyo unamaanisha nini kuhusu warembo wetu wa hapa JF?
Karibu PM mkuu, nitumie details za sister mkuu.. sie hata hatuitaji picha.. ili wawasiliane waonane live lolote laweza tokeaBas aje nimpe dada angu ila awe na mpunga sana
Weka picha yako kwanza tufanye tathmini dadaako atakuwajeBas aje nimpe dada angu ila awe na mpunga sana
Mbona mie hizo picha sizipati wala PM huwa sizioni mkuu ππUTI af wanadanga kama wapo kwa wahaya wanakazi ya kupiga picha makalio na kuwapostia wanaume pm
SawaSiwezi mkosea heshima kwa ku expose ID yake
Mkuu, huko kote sipo .. ni kweli kabisa zamani nilikuwa mtu wa masafa na nilikuwa namudu maisha yangu.. ila mambo yamebadirika sasa mama kaupiga mwingi hadi umetoka nje kwa upande wangu sasa hivi nalimia meno tu kakaWe jamaa ni road trips,mzee wa adventure,mali zako zinapatikania porini!
Lazima uwe jitu la mirada minne kama sio Askari wa TANAPA au gem!!?
Nina Tshirts lakooo kubwaaa la I attract GoodNews na kofia.. nikitoka kitandani nitapiga picha nikutumie uvione πππ...
Cheka na watu mzeeMbona mie hizo picha sizipati wala PM huwa sizioni mkuu ππ
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Cheka na watu mzee
Pumbavu π€£π€£ dada angu pis imenyookaWeka picha yako kwanza tufanye tathmini dadaako atakuwaje