Anatafutwa Mume mtu mzima 36 - 42

Anatafutwa Mume mtu mzima 36 - 42

ram

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2007
Posts
9,326
Reaction score
8,505
Kwenu wanajamvi!
Kichwa cha habari chahusika hapo juu

Ni rafiki yangu sana, mdada ana miaka 36, ana watoto wawili, anatafuta mwanaume mwenye upendo na mapenzi ya kweli, upweke umemchosha. Yeye ana kazi yake nzuri tu, ana kausafiri kake na kamjengo kakujisitiri, so kimaisha yuko poa tu anachomisi ni mwanaume mwenye upendo na mapenzi ya kweli.

Sifa za anaetafutwa:
1. Awe mkristo mchanga Mungu na mwenye hofu ya Mungu
2. Awe tayari kupima VVU
3. Awe na mapenzi ya kweli na mwaminifu
4. Asiwe MUME WA MTU but kama anawatoto anakaribishwa
5. Asiwe mvuta sigara wala mlevi (bt anaweza kuwa anakunywa lkn sio kulewa talalila)
6. Awe mchapakazi/mtafutaji/mhangaikaji
7. Awe ni mwanaume kamili/lijali

Kwa mwanaume aliye serious ani-PM nami nitamuunganisha na mhusika

Nwasilisha!
 
Kwenu wanajamvi!
Kichwa cha habari chahusika hapo juu

Ni rafiki yangu sana, mdada ana miaka 36, ana watoto wawili, anatafuta mwanaume mwenye upendo na mapenzi ya kweli, upweke umemchosha. Yeye ana kazi yake nzuri tu, ana kausafiri kake na kamjengo kakujisitiri, so kimaisha yuko poa tu anachomisi ni mwanaume mwenye upendo na mapenzi ya kweli.

Sifa za anaetafutwa:
1. Awe mkristo mchanga Mungu na mwenye hofu ya Mungu
2. Awe tayari kupima VVU
3. Awe na mapenzi ya kweli na mwaminifu
4. Asiwe MUME WA MTU but kama anawatoto anakaribishwa
5. Asiwe mvuta sigara wala mlevi (bt anaweza kuwa anakunywa lkn sio kulewa talalila)
6. Awe mchapakazi/mtafutaji/mhangaikaji
7. Awe ni mwanaume kamili/lijali

Kwa mwanaume aliye serious ani-PM nami nitamuunganisha na mhusika

Nwasilisha!
Duh!sifa namba 2 inanitupa mkono!
 
Utakuwa unaunganisha moja kwa moja au utakuwa unafanya screening kwanza kabla ya kupeleka?
 
Utaalam wa kuunganisha we uliupatia wapi labda?
 
Kwenu wanajamvi!
Kichwa cha habari chahusika hapo juu

Ni rafiki yangu sana, mdada ana miaka 36, ana watoto wawili, anatafuta mwanaume mwenye upendo na mapenzi ya kweli, upweke umemchosha. Yeye ana kazi yake nzuri tu, ana kausafiri kake na kamjengo kakujisitiri, so kimaisha yuko poa tu anachomisi ni mwanaume mwenye upendo na mapenzi ya kweli.

Sifa za anaetafutwa:
1. Awe mkristo mchanga Mungu na mwenye hofu ya Mungu
2. Awe tayari kupima VVU
3. Awe na mapenzi ya kweli na mwaminifu
4. Asiwe MUME WA MTU but kama anawatoto anakaribishwa
5. Asiwe mvuta sigara wala mlevi (bt anaweza kuwa anakunywa lkn sio kulewa talalila)
6. Awe mchapakazi/mtafutaji/mhangaikaji
7. Awe ni mwanaume kamili/lijali

Kwa mwanaume aliye serious ani-PM nami nitamuunganisha na mhusika

Nwasilisha!

Sa anayetaka rafiki yako...PM utumiwe wewe, we ndio 'screener'? Weka email yake bana tukamtoe dada upweke!
 
Kwenu wanajamvi!
Kichwa cha habari chahusika hapo juu

Ni rafiki yangu sana, mdada ana miaka 36, ana watoto wawili, anatafuta mwanaume mwenye upendo na mapenzi ya kweli, upweke umemchosha. Yeye ana kazi yake nzuri tu, ana kausafiri kake na kamjengo kakujisitiri, so kimaisha yuko poa tu anachomisi ni mwanaume mwenye upendo na mapenzi ya kweli.

Sifa za anaetafutwa:
1. Awe mkristo mchanga Mungu na mwenye hofu ya Mungu
2. Awe tayari kupima VVU
3. Awe na mapenzi ya kweli na mwaminifu
4. Asiwe MUME WA MTU but kama anawatoto anakaribishwa
5. Asiwe mvuta sigara wala mlevi (bt anaweza kuwa anakunywa lkn sio kulewa talalila)
6. Awe mchapakazi/mtafutaji/mhangaikaji
7. Awe ni mwanaume kamili/lijali

Kwa mwanaume aliye serious ani-PM nami nitamuunganisha na mhusika

Nwasilisha!


Shost, huyo rafiki yako akizidiwa na waombaji mwambie wengine awaangushie huku kwangu!
 
Mtu mzima anaanzia umri gani?
 
Ni PM NIKUPE EMAIL YAKE

Sa anayetaka rafiki yako...PM utumiwe wewe, we ndio 'screener'? Weka email yake bana tukamtoe dada upweke!
 
Sikuwahi kufikiri kuwa kuna siku wanaume watakuwa adimu ...!!!
 
Yaani ukiniPM, inamaana utakuwa umeweka contact zako kamili, mi nazipeleka kama zilivyo, so mtajuana wenyewe mkianza kuwasiliana, ila nasisitiza tena nataka mtu ambaye yuko serious

Utakuwa unaunganisha moja kwa moja au utakuwa unafanya screening kwanza kabla ya kupeleka?
 
Back
Top Bottom