Anatafutwa Mume mtu mzima 36 - 42

Anatafutwa Mume mtu mzima 36 - 42

ram naomba uniPM contact za huyo bi dada, nadhani naweza kumuondolea upweke.
Kwakuwa wewe si mhusika nadhani si muhimu sana kukutumia wewe contacts zangu.

Kwa niaba ya shosti wako tafadhali fanya ze needful haraka iwezekanavyo!!!
 
Mwita bwana, ingekuwa hivyo angeniambia tu niweke contact zake hapa, wewe ni-PM tu nitakuunganisha nae tu

ram naomba uniPM contact za huyo bi dada, nadhani naweza kumuondolea upweke.
Kwakuwa wewe si mhusika nadhani si muhimu sana kukutumia wewe contacts zangu.

Kwa niaba ya shosti wako tafadhali fanya ze needful haraka iwezekanavyo!!!
 
Sifa za anaetafutwa:
1. Awe mkristo mchanga Mungu na mwenye hofu ya Mungu
2. Awe tayari kupima VVU
3. Awe na mapenzi ya kweli na mwaminifu
4. Asiwe MUME WA MTU but kama anawatoto anakaribishwa
5. Asiwe mvuta sigara wala mlevi (bt anaweza kuwa anakunywa lkn sio kulewa talalila)

6. Awe mchapakazi/mtafutaji/mhangaikaji
7. Awe ni mwanaume kamili/lijali

Kwa mwanaume aliye serious ani-PM nami nitamuunganisha na mhusika

Nwasilisha!

Najua namba 7 ndyo shida yake kubwa, na hakuna mwanaume anayenifikia kwa hapo. Sifa Na 3-5 ndyo , kikwazo kwangu, lakini nimepania kuzirekebisha nipe wiki moja pls, uniPM wewe nimwokoe rafiki yako, najua hatajilaumu kwa kunikubali.
 
:glasses-nerdy::glasses-nerdy: Daaah ka namwona hivi kigori , naomba uni pm sifa muhimu kama anajua kutumia computer, mazingira aliyokulia, na pia yeye je anajua kumcha Mungu na anafia ya Mungu kweli, ili
 
Tatizo la hawa gt, hawakawii kukutaka wewe wakamkataa mlengwa! Kuwa muangalifu.
 
ram naomba uniPM contact za huyo bi dada, nadhani naweza kumuondolea upweke.
Kwakuwa wewe si mhusika nadhani si muhimu sana kukutumia wewe contacts zangu.

Kwa niaba ya shosti wako tafadhali fanya ze needful haraka iwezekanavyo!!!

Dady......iam everywhere!!!!
 
Duh! Nitajaribu kumwambia
kazi uliyojitwisha ni kubwa, najua kadhia zake. Utajibu maswali ya kukera mpaka basi. Kila la heri kwa huyo rafiki yako.
 
baba-Enock wanaume ni wengi saana tatizo kumpata asiye kicheche
 
Last edited by a moderator:
Yule njemba aliyezaa naye kwa sasa mbona hayupo naye? Ama wameitilafiana kimaisha? Funguka mleta uzi,kwani maswali ni kwako na kama ni wewe mwenyewe usisite kujuza hili!
 
Baba Enock, wanaume wapo tatizo ni kwamba wengi wao hawajatulia, sio waaminifu n.k

Kwani wanatikisika kama maji hao wanaume ambao hawajatulia?
 
baba wa hao watoto wawili yupo hai? na watoto wana miaka mingapi?
 
Sifa zote ninazo lakini sitaki kwakuwa hapo hakuna mapenzi ya kweli kinzcho takiwa hapo ni sifa na mimi nadhamini utu /upendo sio sifa /wadhifa.
 
Kwenu wanajamvi!
Kichwa cha habari chahusika hapo juu

Ni rafiki yangu sana, mdada ana miaka 36, ana watoto wawili, anatafuta mwanaume mwenye upendo na mapenzi ya kweli, upweke umemchosha. Yeye ana kazi yake nzuri tu, ana kausafiri kake na kamjengo kakujisitiri, so kimaisha yuko poa tu anachomisi ni mwanaume mwenye upendo na mapenzi ya kweli.

Sifa za anaetafutwa:
1. Awe mkristo mchanga Mungu na mwenye hofu ya Mungu
2. Awe tayari kupima VVU
3. Awe na mapenzi ya kweli na mwaminifu
4. Asiwe MUME WA MTU but kama anawatoto anakaribishwa
5. Asiwe mvuta sigara wala mlevi (bt anaweza kuwa anakunywa lkn sio kulewa talalila)
6. Awe mchapakazi/mtafutaji/mhangaikaji
7. Awe ni mwanaume kamili/lijali

Kwa mwanaume aliye serious ani-PM nami nitamuunganisha na mhusika

Nwasilisha!

Nitaku PM unitumie picha zake!

Preta wangu usisome komenti hii!! Ukisoma kwa bahati mbaya , basi isikupe shida mimi natania tu!!
 
Yaani ni kubwa kweli, but hopeful atapata tu

kazi uliyojitwisha ni kubwa, najua kadhia zake. Utajibu maswali ya kukera mpaka basi. Kila la heri kwa huyo rafiki yako.
 
Back
Top Bottom