anatafutwa mume

anatafutwa mume

cinderelalove

Senior Member
Joined
Feb 23, 2013
Posts
189
Reaction score
39
natafuta mume alie na miaka 40 na zaidi.awe ni mfanya kazi au mfanya biashara inayoeleweka.awe alifiwa na mke au alie divorced but kwa sababu maalum.mcha Mungu.kapa upo hapa dondosha email adress yako.
 
Kwa nini unapenda aliyefiwa su kuwa devorced? Ok! mi nafiti umri lakini kufiwa au kuwa devorced ni contradiction kwangu., kazi kweli kweli
 
Ninafanya kazi maalumu, sijawai kujihusisha na mapenzi wewe ndio utakua wa kwanza, ni mcha Mungu wa ukweli, nina nyumba mbili na msingi moja, sina mtoto ila sijafikisha fote bado nina 4! cinderelalove karibu na uni PM tuendeleze maisha mpenzi
 
Last edited by a moderator:
Chagua shape yako hapa kwanza
straightbuttonbig.jpg

pearbuttonbig.jpg

spoonbuttonbig.jpg

ovalbuttonbig.jpg

invertedtrianglebuttonbig.jpg
 
natafuta mume alie na miaka 40 na zaidi.awe ni mfanya kazi au mfanya biashara inayoeleweka.awe alifiwa na mke au alie divorced but kwa sababu maalum.mcha Mungu.kapa upo hapa dondosha email adress yako.
Post yangu umeiona ni PM tu chat tunaweza kufikia makubaliano,i can be the one you are looking for.
 
natafuta mume alie na miaka 40 na zaidi.awe ni mfanya kazi au mfanya biashara inayoeleweka.awe alifiwa na mke au alie divorced but kwa sababu maalum.mcha Mungu.kapa upo hapa dondosha email adress yako.

e.g mie ni bint wa 32yrs

kwa uandishi huu itakuwa ngumu sana kupata pm za wanaotaka kuoa!!!!!!!!!!
 
jamani mie nina 32yrs.ninapenda saana watoto,pia huwalinda saana watoto.napenda kulea sana.so kwa aliekuwa interesting plz email.
 
Back
Top Bottom