Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahahahahahaahaha..ahahahahahahaaa...aahahaha dogo leo tangu nimejiunga jf takribani miaka 7-10 umenichekesha hata hamu sina...nitaku-pm uwe rafiki yangu coz umeweza kutengua kitendawili kigumu sana ke maisha yangu..kucheka kwa vitu vyepesi ni ngumu sana kwangu..leo umeniweza.na sisi wadogo mbona hatuangaliwi tuna achwa mataa age25
Nakumbuka kusoma kwenye biblia ya wakristo..."mke mwema hutoka kwa mungu"...ila sikumbuki kusoama mme mwema hutoka ..say jf....msaada jamani...mume mwema hutoka wapi?
natafuta mume alie na miaka 40 na zaidi.awe ni mfanya kazi au mfanya biashara inayoeleweka.awe alifiwa na mke au alie divorced but kwa sababu maalum.mcha Mungu.kapa upo hapa dondosha email adress yako.
mungu anapatikana wapi na wapi hapatikani mkuu?
banned nimekupata hahahahah unavituko saana
e.g mie ni bint wa 32yrs