anatafutwa mume

anatafutwa mume

na sisi wadogo mbona hatuangaliwi tuna achwa mataa age25
ahahahahahaahaha..ahahahahahahaaa...aahahaha dogo leo tangu nimejiunga jf takribani miaka 7-10 umenichekesha hata hamu sina...nitaku-pm uwe rafiki yangu coz umeweza kutengua kitendawili kigumu sana ke maisha yangu..kucheka kwa vitu vyepesi ni ngumu sana kwangu..leo umeniweza.
 
Nakumbuka kusoma kwenye biblia ya wakristo..."mke mwema hutoka kwa mungu"...ila sikumbuki kusoama mme mwema hutoka ..say jf....msaada jamani...mume mwema hutoka wapi?
 
Nakumbuka kusoma kwenye biblia ya wakristo..."mke mwema hutoka kwa mungu"...ila sikumbuki kusoama mme mwema hutoka ..say jf....msaada jamani...mume mwema hutoka wapi?

Mungu anapatikana wapi na wapi hapatikani mkuu?
 
Aah mm nilidhani watu wanatafuta wapenzi kwanza,kumbe mume kbsa!!
 
natafuta mume alie na miaka 40 na zaidi.awe ni mfanya kazi au mfanya biashara inayoeleweka.awe alifiwa na mke au alie divorced but kwa sababu maalum.mcha Mungu.kapa upo hapa dondosha email adress yako.

upo tayari kwa kutoa ndogo nichek yonaedson@gmail.com
 
mungu anapatikana wapi na wapi hapatikani mkuu?

kaka mungu anapatikana nyumba za ibada..kama kanisani na misikitini...ila huwa anatutazama na kutuma malaika wake watusaidie tunapokuwa kwenye wakati mgumu nje ya maeneo hayo ya nyumba za ibada..say upo bar unalewa mungu hapo hayupo ila kwa vile anatupenda akiona kuna msala unakunyemelea anamtuma malaika aje akuondoe eneo la tukio.

Simple short n possibly clear kaka.
 
njaghamba@hotmail.com

Nina miaka 45
ni mtalaka
nina watoto 5
nina kazi ya kudumu na kipato kizuri
ni mkristo, Efatha

Kam uko serious niandikie email nad unipe details zako nami nia asses.

Wako mume mtarajiwa.
TzPride
 
jamani...! mashart yaende sambamba na wajibu...weka na picha yako...
 
e.g mie ni bint wa 32yrs

Khaaaa!miaka 32 bado ni binti,alafu under 18 tumuite nani? Usikatae ukubwa bwana,wewe umri umekwenda tu,ndiyo maana hadi unajua kuwa walau mume wa kuanzia miaka 40 anaweza kuwa amemeliza ujana wake.
 
Back
Top Bottom