Anatafutwa mwanamke wa kuolewa

Joined
Aug 27, 2024
Posts
17
Reaction score
27
Anatafutwa mwanamke anayetaka kuolewa mwenye sifa zufuatazo,

Awe na miaka kuanzia 27 mwisho miaka 35. ASIWE NA MTOTO. ASIWE NA ANATUMIA DAWA YA KUFUBAZA.

Anaweza akawa nesi, mwalimu, banker, akauntanti, auditor, maketia, afisa habari, mchumi, mwanasheria, afisa ugavi, mkutubi, police, mwanajeshi, daktari wa binadamu, au daktari wa mifugo, bi shamba, injinia, mtunza kumbukumbu, au katibu mutahsi.
Mume wako mtarajiwa nipo, karibu kwa kuolewa na kujenga maisha ya pamoja.

Asante.
 
Mume uko tayari kuolewa??

 
mama ntilie hutaki ndugu husband
 
Hili sasa limekuwa Tatizo👑

Ili uwachukize Mwanamke wa kichaga jaribu hii!/Ili demu wa kichaga akuelewe tekeleza huu ujumbe kwa asilimia 100


Shemeji nimeipata ile namba ya mtaalamu Yule aliye nisaidia shida zangu hii hapa 0617146864 mpgie mzee atakusaidia matatizo ulio nieleza malipo baada ya tiba

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…