Anataka kuja kwangu wakati sina hata godoro nalala chini, kwake nilikwenda nikakuta ana maisha mazuri

Anataka kuja kwangu wakati sina hata godoro nalala chini, kwake nilikwenda nikakuta ana maisha mazuri

Hakikisha umepita naye na kafurahia game ndio umkaribishe, lasivyo kuna mawili hapo kuachwa au kukwambia ana dharura
 
Hakuna mwanamke atapenda umasikini wa mwanaume ukimleta aone taabu zako umempoteza
 
Muda wa kujitafuta tunatafuta wanawake, bro usianzishe mahusano kama huna pesa za kusupport lifestyle unayoitaka wewe binafsi na aina ya mahusiano unayotaka
 
Back
Top Bottom