Anataka kuja kwangu wakati sina hata godoro nalala chini, kwake nilikwenda nikakuta ana maisha mazuri

Anataka kuja kwangu wakati sina hata godoro nalala chini, kwake nilikwenda nikakuta ana maisha mazuri

Nonsense umezaliwa 1994 una-miaka 31?? Seriously!
 
Kwanza hii app ya tagged ndo naanza kuofatilia hapa na mimi nipate mshangazi kama huu aiseee mbona mambo ni simple hivi kumbe
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tagged ni app bomba mkuu
 
Nilishasemaga , humu kuna watu hawana maisha yawèwe kukutishia kuishu wanahali mbaya haya sasa hana hata kitanda na nimwanaume
 
Thanks sana mkuu
Akija asiondoke mpaka uhakikishe amelala kwenye HICHO kigodoro kidogo na umemsukumia Chuma haswa usitipotezee hizo Point 3 Wanaume, nikiwa km Mzee mwenye Busara nakusihi kijana wangu akija hakikisha umetundika daruga na kuchukua Point 3 hakikisha umeichakata hio Mbunye imekuja kwa ajili hio na sio nyingine kwa hio chochea moto
 
Nakodisha kitanda na godoro kwa bei poa kabisa

Njoo pm
Nb: ukija njoo na namba ya huyo mshangazi
 
Akija asiondoke mpaka uhakikishe amelala kwenye HICHO kigodoro kidogo na umemsukumia Chuma haswa usitipotezee hizo Point 3 Wanaume, nikiwa km Mzee mwenye Busara nakusihi kijana wangu akija hakikisha umetundika daruga na kuchukua Point 3 hakikisha umeichakata hio Mbunye imekuja kwa ajili hio na sio nyingine kwa hio chochea moto
Sawa
 
Nilishasemaga , humu kuna watu hawana maisha yawèwe kukutishia kuishu wanahali mbaya haya sasa hana hata kitanda na nimwanaume
Mnuka pichu wewe kama huna ushauri kaa kando kuliko kuongea umaku *****
 
Back
Top Bottom