Hammer11
JF-Expert Member
- Feb 18, 2024
- 1,518
- 2,174
Mimi ni kijana wenu mtanzania halisi ila kwa sasa nipo huku Malindi,Kenya kujitafuta.
Sasa, kinachonileta kwenu ni hivi: Kuna mwanamke (maana ni mwanamke ako na 35 years) tulikutana kwa app inaitwa "tagged" sasa tukaongeaa mengi kama wiki kadhaa nyuma ila ikawa ngumu kuonana, unajua kazi tena.
Sasa leo nimepata time nzuri nikaenda kwake kwa mara ya kwanza tukaonana live. Sasa, kiukweli kajipanga ako vizuri kimaisha; yaani mimi labda naingia mara hata 10 hivi.
Tukaongea, mimi nikaamua kusepa. Sasa kasema kesho anakuja kwangu na mimi hata godoro ni kale kadogoo, nalala chini, sijajipata poa.
Sasa, jee kesho ajeee au nimpotezeee atakuja kunidharau? Nishaurini wazee wa JF
Sasa, kinachonileta kwenu ni hivi: Kuna mwanamke (maana ni mwanamke ako na 35 years) tulikutana kwa app inaitwa "tagged" sasa tukaongeaa mengi kama wiki kadhaa nyuma ila ikawa ngumu kuonana, unajua kazi tena.
Sasa leo nimepata time nzuri nikaenda kwake kwa mara ya kwanza tukaonana live. Sasa, kiukweli kajipanga ako vizuri kimaisha; yaani mimi labda naingia mara hata 10 hivi.
Tukaongea, mimi nikaamua kusepa. Sasa kasema kesho anakuja kwangu na mimi hata godoro ni kale kadogoo, nalala chini, sijajipata poa.
Sasa, jee kesho ajeee au nimpotezeee atakuja kunidharau? Nishaurini wazee wa JF