MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Mwanaume mwenye nguvu ni asiyeyumbishwa na matendo ya mtu mwingine hivyo best option ni kumuacha na kuondoka.Nyege mbaya sana kama utashindwa zicontrol. Naona gunia la mkaa litafanya kazi muda si mrefu.
Kuna tukio litatrend mtandaoni muda si mrefu.
Unajiandikia tu humu JF. Omba sana lisikukute na ukalijua.Mwanaume mwenye nguvu ni asiyeyumbishwa na matendo ya mtu mwingine hivyo best option ni kumuacha na kuondoka.
ila huyu ni zumbukuku hana habari kuwa mali zake zaliwa ikiwezekana hadi sega.
Watoto kazaa na jamaa wa nje, kuua unakuwa muuaji na kusumbuliwa na mahakama, polis na jela.
Ondoka ili ajute maamuzi yake.
Watoto watatu tayari na jamaa hajui, akija kushtuka ni uzeeni halafu anatelekezwaMwanamke yupo emotional sana, Kuna namna jamaa atajua tu. Huyo achague moja, jamaa au ex wake.
Kutembeza "bakora" siyo kugawa bhanaMbona ata nyie wanaume mnagawaga nje mkishatuoa
Thubutu,Dada yupo sahihi sina cha kumshauri
Yaani mpaka anaomba ushauri, yamemfika kooni, ukuni unamkuna vilivyo, hawezi kuendelea,kila siku baada ya kupata ukuni wa maana anazidi kuchanganyikiwa, Hisia za mwanamke zinapanda pale anapokutana na mwanaume ambaye ana vigezo vingi ambavyo vinamvuti, hapo hawezi kubalance mapenzi, hawezi atajistress, atakuja kuomba ushauri, Amezidiwa.πDada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
πJamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
πKahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
πMiaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanzaβοΈdemu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
βοΈJamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume wake
πAnasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na ANAMPENDA sanaπ€ Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Ndo amchane mapema Sasa.Watoto watatu tayari na jamaa hajui, akija kushtuka ni uzeenihalafu anatelekezwa
Ukiachika unaoga unarudi sokoKutembeza "bakora" siyo kugawa bhana
Thubutu,
Una watoto watatu unawaza kuachika kabisa kisa ubora wa shoo?!
Atajuta huyo
πDada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
πJamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
πKahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
πMiaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanzaβοΈdemu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
βοΈJamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume wake
πAnasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na ANAMPENDA sanaπ€ Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Tatizo huwezi kuolewa, ila unakuwa "cha wote"Ukiachika unaoga unarudi soko
Sasa kwanini hakuolewa naye maana kakutana naye kabla huyo mme wake.Yaani mpaka anaomba ushauri, yamemfika kooni, ukuni unamkuna vilivyo, hawezi kuendelea,kila siku baada ya kupata ukuni wa maana anazidi kuchanganyikiwa, Hisia za mwanamke zinapanda pale anapokutana na mwanaume ambaye ana vigezo vingi ambavyo vinamvuti, hapo hawezi kubalance mapenzi, hawezi atajistress, atakuja kuomba ushauri, Amezidiwa.
Akikosa ushauri atafanya hadharani, mwishowe mumewe atajua.
Ushauri wangu achague ex wake, Ili tuone mwisho utakuwaje.
inawezekana mwanamke akawa ndio kiumbe hatari kuliko wote duniani!!!Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Kujilinganisha na wanaume kwenye mambo ya hovyo mko vizuri lakini tukiwaambia mjilinganishe na wanaume kwenye mambo ya maana kama majukumu ya kifamilia hamtaki hata kusikia.Mbona ata nyie wanaume mnagawaga nje mkishatuoa
Dada yupo sahihi sina cha kumshauri
Aache umalaya.... kama anaenda aende kwa mzinzi mwenzake.... sasa huduma za nini akati hatako ndoa? Haoni kama ameshafanya dhuluma na bado anataka aiendeleze kwa mtu asie na hatia?Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Hatutaki kuingilia majukumu yenuKujilinganisha na wanaume kwenye mambo ya hovyo mko vizuri lakini tukiwaambia mjilinganishe na wanaume kwenye mambo ya maana kama majukumu ya kifamilia hamtaki hata kusikia.
Mgongoni haitajiandika.cha woteTatizo huwezi kuolewa, ila unakuwa "cha wote"
.Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!