Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 873
- 1,405
Mwanume hagawi... hata ukiangalia kimaumbile tu haiko hivyo..... mistake kujilinganisha katika hilo... hao masupa wumani wanawadanganya....Mbona ata nyie wanaume mnagawaga nje mkishatuoa
Dada yupo sahihi sina cha kumshauri
Hapa kataa ndoa tumeshinda 4 bila. Kiufupi jamaa alioa malaya!! hana tofauti nacwale chumba namba 13 kinalua sana twende namba 7!Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Mnapenda kushindana na wanaumeMbona ata nyie wanaume mnagawaga nje mkishatuoa
Dada yupo sahihi sina cha kumshauri
Alama moja wapo ni maziwa makuu yaliyo lala pamoja na bwawa la mwalimu nyerere mixer harufu zisizo elewekaMgongoni haitajiandika.cha wote
Kweli aungwe mkono halafu mnakaa pembeni 😂😂Kwa siku wanashinda kitandani kwa muda gani? 😅😅😅😅 Masaa 24? au hata nusu yake?
Watu kama hao ni wazuri sana, muungeni mkono! Kaeni pembeni subirini matokeo cause WTF!
Dawa za kurudisha saa sita zipoAlama moja wapo ni maziwa makuu yaliyo lala pamoja na bwawa la mwalimu nyerere mixer harmful zisizo eleweka
Ni haki sawa tuMnapenda kushindana na wanaume
Nachokijua mwisho wa huyo mwanamke utakuwa mbaya sababu nishayashuhudia haya kwa mtu wangu wa karibu sanaNi haki sawa tu
Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Kama tu hukujipanga vizuriNachokijua mwisho wa huyo mwanamke utakuwa mbaya sababu nishayashuhudia haya kwa mtu wangu wa karibu sana
vya kuiba vitamu sana baby! Subiri huyo mume bwege agundue na akate kamba! Ex naye huingia mwituni kwani kupanda mlima hawezi kwa kuzoea Kitonga.Ni haki sawa tu
Mnavyomwitaga mwanamke malaya ni ili aumie au ni kujiridhisha tu nafsi zenu? Wengi tu mnaishi na malaya na hamjui.Huyo mwanamke ni Malaya. Jamaa alioa mke wa mtu