Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Umkate kate mapanga kwanini, si umpige talaka tu 😎Sasa hapo anataka ushauri gani?
Alafu mbwa kama huyo akija kukatwa katwa mapanga wanaharakati uchwara waje kupiga kelele za ukatiri wa kijinsia.
Anacho kitafuta atakipata muda sio mrefu.
Kwa namna Moja au nyingine nawew unahusika kwenye hiyo kesi 😆Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Sii umesema eti wee yanga huwezi shika pesa nyekundu😹😹😹 Weee ushindwe wapi nimesema sitaki pesa?!!
Hamna shida mie muhimu nipate share yanguEwaaaaa mzabzab umesikia maneno ya somo hayo?raha ya ndoo kidumu,raha ya shamba bustani
Weeh mi nakula Yanga 😹Sii umesema eti wee yanga huwezi shika pesa nyekundu
Ni kweli. Jamaa apigwe chini.Yule mwanamke ni malaya
Jamaa inabidi atafute mkali zaidi ya huyo mwanamke aweke ndani heshima irudiNi kweli. Jamaa apigwe chini.
Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Siku tu akijua Lamomy ndo dadake wallah atacheka sana 😹😹Siku kakaako akikukuta jf atalia sana 😂😂😂
Huyo mkali atakimbia tu maana jamaa hajui yale mamboJamaa inabidi atafute mkali zaidi ya huyo mwanamke aweke ndani heshima irudi
Hatari sanaHuyo mkali atakimbia tu maana jamaa hajui yale mambo
Acha dharau pisi gani za Themanini 🤔hivi unajua mwanamke wa 1986 sahv baadhi wana wajukuu =39 age Ungenambia 2000-2008 hapoKuna mabinti 1980, 2000, 2010... wanakuja kwa kasi sana; asitishe misaada kama USA walivyofanya, kisha watengane, atafute toto la kinyarwanda wakate mauno.
Wakipata matunzo sahihi, hawazeekiAcha dharau pisi gani za Themanini 🤔hivi unajua mwanamke wa 1986 sahv baadhi wana wajukuu =39 age Ungenambia 2000-2008 hapo
Tamaa mbele mauti nyuma,,,, Wadada wengi wanakuwa na tamaa sana na kutokuridhika na sehemu walipo.Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Haswaaa ..umemaliza kabisa mkubwa Chasambi!umalaya ni janga...watu wanajifichia kwenye kichaka cha nguvu za kiume sijui kibamia!!!Malaya anapotafuta sababu za kwenda kufanya umalaya vizuri
Mmuache bwana yeye ndio anajua nini anakitaka.Bittcchesss enhh!!!!