Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Nigawie basiiiAcha tugawe nje na sisi😌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nigawie basiiiAcha tugawe nje na sisi😌
Kwani nagawa nini mimiNigawie basiii
Wewe umemshauri nini na kichwa chako kidogo kama konzi?Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
No wonder watu wanajua ukatili mpaka tunaulizana mbona binadamu wamegeuka kuwa wanyama? Huyu mwamba akija kustuka itakuwa hatari sana, huyu binti hajafanya sawa!Amlipe garama zake zote aondoke. Huyo ni adui mkubwa sio mke. Watoto watatu wa baba mwingine majukumu na mzigo wa kuwalea na mama mkwe kabebeshwa jamaa. So sad kwa kweli ndio maana watu wanauana kwenye ndoa
Ulichosema unagawaKwani nagawa nini mimi
🤔Mimi sishauri watu kuachana Ole tumbafu gashiWewe umemshauri nini na kichwa chako kidogo kama konzi?
njoo nikugawie😍Ulichosema unagawa
Ndo maana mimi na Melancholic tunakua wachungu kuwapa hela wadada sababu ya uboya kama huuDada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"
basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana
Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine
Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool
Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua
Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume
Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!
Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Sawaaa 😍Nnjoo nikugawie😍
Haya tunayasema humu kila siku yani hata siku moja usijindanganye kumfurahisha mwanamke, bro mwanamke aridhiki wacha sisi tuendelee kuzichanga shilingi furaha kubwa duniani ni kumiliki pesa tu.Ndo maana mimi na Melancholic tunakua wachungu kuwapa hela wadada sababu ya uboya kama huu
Ghasi nang'ho galusindo'ebhe uli munhu? Kajinga ebhe!🤔Mimi sishauri watu kuachana Ole tumbafu gashi
Munhu🤣Kwan otenagho? shi nkoi ama walyaga manumbu obojiko wakeshaga winyeraga kwenekoGhasi nang'ho galusindo'ebhe uli munhu? Kajinga ebhe!