Anataka kumuacha mume wake wa ndoa ya miaka saba sababu si mzuri kitandani ili arudiane na ex wake

Anataka kumuacha mume wake wa ndoa ya miaka saba sababu si mzuri kitandani ili arudiane na ex wake

Kataa ndoa katika moja na mbili za kukikuza chama chake.
 
Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"

basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana

Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine

Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool

Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua

Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume

Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!

Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Wewe umemshauri nini na kichwa chako kidogo kama konzi?
 
Amlipe garama zake zote aondoke. Huyo ni adui mkubwa sio mke. Watoto watatu wa baba mwingine majukumu na mzigo wa kuwalea na mama mkwe kabebeshwa jamaa. So sad kwa kweli ndio maana watu wanauana kwenye ndoa
No wonder watu wanajua ukatili mpaka tunaulizana mbona binadamu wamegeuka kuwa wanyama? Huyu mwamba akija kustuka itakuwa hatari sana, huyu binti hajafanya sawa!
 
Ukiwa msela atapewa wa hela,,,,
Ukiwa na hela atapewa msela,.
 
Dada wa watu anaomba ushauri
Mwanadada na jamaa walikutana miaka saba iliyopita kwenye msiba wa baba yake mwanadada, alikuwa na maisha magumu sana Baada ya baba yake kufariki "jamaa akachukua yale majukumu provide all basic needs"

basi jamaa akawa mfariji wake sana binti hadi wakapendana

Jamaa alimuoa binti Baada ya msiba wa baba ake miezi 6 baadae
Kahikikisha hadi bidada kamaliza elimu yake kapata kazi ya kudumu(nursing)
Miaka yote hiyo saba anamlipia mama ake mzazi mwanadada kodi(anaishi mahala pazuri) na matumizi mengine

Picha linaanza demu mwaka mmoja Baada ya kufunga ndoa na jamaa alirudiana na bwana wake wa kwanza (ex) wa secondary highschool

Jamaa amemzalisha watoto wa Tatu ndani ya ndoa bila Mume kujua

Sasa picha linakuja mwanadada haridhiki kwenye tendo kwa mume

Anasema hisia zake kwa. MUMEWE zimekufa anataka avunje ndoa arudi kwa ex wake anamridhisha sana Kitendo na anampenda sana Ila kwa upande mwingine bado huduma za MUMEWE anazitaka!

Je Una mshauri ni mwanadada Huyu!
Ndo maana mimi na Melancholic tunakua wachungu kuwapa hela wadada sababu ya uboya kama huu
 
Amtafutie mume wake vumbi la Congo
 
Atukome hayuko peke yake, bila mafiga matatu chungu hakikai motoni 😹😹🤣

Raha ya kubeba ndoo na kidumu kiwe mkononi..! 🤣
Naomba mimi niwe figa la nne kwako 😋 Lamomy
Screenshot_20250127-164757.jpg
 
Ndo maana mimi na Melancholic tunakua wachungu kuwapa hela wadada sababu ya uboya kama huu
Haya tunayasema humu kila siku yani hata siku moja usijindanganye kumfurahisha mwanamke, bro mwanamke aridhiki wacha sisi tuendelee kuzichanga shilingi furaha kubwa duniani ni kumiliki pesa tu.
 
hivi kwann ulaya wanasalitiwa sana lakini hawauani may be shida ni umasikini wetu
 
Back
Top Bottom