Kuwa na mahusiano na Mwanafunzi.Kwa kosa gani mkuu?
Kwa kosa gani mkuu?
Unaishije na binti wa watu bila ridhaa ya wazazi wake, likikukuta la kukukuta akili yako itakukaa sawa na kuelewa Una kosa ganiKwa kosa gani mkuu?
Nataka Nijue sheria inasemaje kwa mwanafunzi wa Chuo anaesomea ngazi ya diploma,Ni mwanafunzi. Si utafute mitaani kwani hawapo.
Tena si polisi tu na kukuroga atakuroga.
Unamvimbia mwenye mtoto wake, zaa wako kabidhi kwa akina Bujibuji.
Mahakama pekee anayoweza kukupeleka ni kwa Sangoma[emoji3][emoji3][emoji3] Nataka nijue kwanza je kuna kesi yeyote kuwa kwenye mahusiano na binti anaesoma chuo Ngazi ya Diploma
Muulize Babake anayetaka kukushitaki..Mwanafunzi anaanzia wapi na kuishia wapi mkuu?