Wakishakupa utaverify vipi kuwa chassis number hiyo ndo gari hilo?Kwenye Card ya Gari TRA kwa kuangalia namba ya gari na information zake. Nenda TRA peleka namba ya gari hilo watakupa chassis namba.
Wakishakupa utaverify vipi kuwa chassis number hiyo ndo gari hilo?
Mkuu huyu jamaa mpaka kajakupost huku tayari atakua anawasiwasi kuwa namba iliopo kwenye kadi sio namba ya gari hilo lililoletwa, kwa hiyo anataka kutafuta hiyo namba physically ili awe na amani.Wao waliposajili wali verify vipi kuwa hiyo ndo chassis number? Tumia tu kigezo hicho.kuwa kama mpaka walisajili basi hilo gari walithibitisha ndo lenyewe. But again nenda katoe taarifa polisi kuwa unataka kununua gari xxx lenye usajili huo na chassis namba inayosoma hiyo halafu wakushauri.na unaponunua fuata taratibu zote za kuuziana kitu na mtu.
Naam sawa sawa unavyosema nina waswas na hili gariMkuu huyu jamaa mpaka kajakupost huku tayari atakua anawasiwasi kuwa namba iliopo kwenye kadi sio namba ya gari hilo lililoletwa, kwa hiyo anataka kutafuta hiyo namba physically ili awe na amani.
Ushauri wako wa kwenda polisi unaweza ukawa sahihi zaidi, maana unaweza kukuta hilo gari ni la wizi na wameisugua hiyo vin makusudi.
Ingekua gari dogo nimemwambia afungue mbele chini ya kioo kwenye ya maji ya mvua kuna sehemu akitoa angeiona. Ila kwa gari lake hilo sidhani kama ipo hapo pia