Wakuu naomba msaada kuna rafiki yangu anataka kununua gari, bahati mbaya hiyo gari chasiis yake hajaonekana, kwa kile kibati kinachoonesha kila kitu kinachokaa pembezoni mwa mlango wa dereva kimefutika chote, hata kwenye mkanda wa dereva hakuna.
Swali langu je ni sehemu gani nyengine kwenye basi hilo la mistubish rosa itaonekana hizo number chassis?
Nitashukuru sana wakuu mkinipa msaada huo kwani jamaa kesha toa pesa nusu, chaka ipo hapo asanteni.
Swali langu je ni sehemu gani nyengine kwenye basi hilo la mistubish rosa itaonekana hizo number chassis?
Nitashukuru sana wakuu mkinipa msaada huo kwani jamaa kesha toa pesa nusu, chaka ipo hapo asanteni.