Anataka kununua gari iliyo juu kwa bajeti ya Milioni 15

Anataka kununua gari iliyo juu kwa bajeti ya Milioni 15

Tony Yeyo

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
729
Reaction score
555
Habari zenu

Rafiki yangu anataka kununua gari lakini hataki kununua gari iliyo na Kimo cha chini.

Anataka gari yenye kimo cha NISSAN DUALIS. Hii ni kutokana na kuishi maeneo yenye miundombinu mibovu.

Ameshindwa nunua DUALIS sababu iko bei juu

Yeye Bajeti yake ni million 15…

Gari isizidi cc 2000

Anunue gari gani?
 
Habari zenu

Rafiki yangu anataka kununua gari lakini hataki kununua gari iliyo na Kimo cha chini.

Anataka gari yenye kimo cha NISSAN DUALIS. Hii ni kutokana na kuishi maeneo yenye miundombinu mibovu.

Ameshindwa nunua DUALIS sababu iko bei juu

Yeye Bajeti yake ni million 15…

Gari isizidi cc 2000

Anunue gari gani?
Nunua Toyota Brevis halafu iinue juu, ikikushinda park.
 
Back
Top Bottom