Anataka kuolewa na mtu mwingine na mtoto wangu ana miezi 10

Anataka kuolewa na mtu mwingine na mtoto wangu ana miezi 10

Half Genious

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2017
Posts
491
Reaction score
784
Habari wadau

Kuna mwanamke ambae nilikiwa nae kwenye mahusiano baadae tukatengana baadae akaniambia ana mimba yangu so kuanzia analea mimba had leo mtoto amezaliwa hatuko kwenye mahusiano ya kimapenz wala kupasha kiporo anaishi anaishi kwao na mtoto sasa anataka kuolewa mwez ujao mi sitaki mwanangu alelewe na baba wa kambo ila yeye yupo ok hata nikitaka kumchukua mtoto,mi bado sijaoa mtoto ni mdogo sana kumchukua bado anahitaji kunyonya na mama yake yupo amgekuwa amekufa hapo sawa na nina muhudumia had msichana wa kaz nimemuwekea..nataka kumchukua mtoto wangu nimpeleke wapi ndio nakuna kichwa kwa umri wake ule..!..nq jambo hili alifanya kwa siri nimekuja kujua juz ndoa inakaribia kufungwa

Wapo wamenishauri nimpeleke mtoto ustawi kuna watu wanatafuta watoto wamlee au kuadopt sasa mi sijashindwa kumlea ila nahis ninapoelekea nakosa choice...kumpelekea ndugu mzigo wa mtoto napo ni mtihani kwa maisha haya..!
 
Ni sawa ndugu mimi ninakuambiq kuwa kama unampenda mtotochukue umlee! Hata kama itakuwa ni tabu kwako lakini fanya hivyo, omba mtu yoyote ambaye una ukaribu naye akusaidie kulea hutajutia nakuambia.

Nilimchukua mtoto wangu kutoka kwa mama yake akiwa na wiki 3 sasa hivi ana mwaka na nusu! Sembuse huyo wa kwako miezi kumi?


Take it as inspiration
 
Hili ni jambo jepesi kama mtakutana na kuongea mzazi mwenzio.....ikiwa kama ni wazazi ni lazima mtafikia muafaka.....pia msisahau kuwashirikisha wazazi kwenye mchakato mzima......
 
Mtoto ameshafikisha miezi sita, unaweza kumchukua ukamlea kumuacha aende huko ni risky sana hasa kama baba mtarajiwa hana upendo na huyo mtoto
 
Habari wadau

Kuna mwanamke ambae nilikiwa nae kwenye mahusiano baadae tukatengana baadae akaniambia ana mimba yangu so kuanzia analea mimba had leo mtoto amezaliwa hatuko kwenye mahusiano ya kimapenz wala kupasha kiporo anaishi anaishi kwao na mtoto sasa anataka kuolewa mwez ujao mi sitaki mwanangu alelewe na baba wa kambo ila yeye yupo ok hata nikitaka kumchukua mtoto,mi bado sijaoa mtoto ni mdogo sana kumchukua bado anahitaji kunyonya na mama yake yupo amgekuwa amekufa hapo sawa na nina muhudumia had msichana wa kaz nimemuwekea..nataka kumchukua mtoto wangu nimpeleke wapi ndio nakuna kichwa kwa umri wake ule..!..nq jambo hili alifanya kwa siri nimekuja kujua juz ndoa inakaribia kufungwa

Wapo wamenishauri nimpeleke mtoto ustawi kuna watu wanatafuta watoto wamlee au kuadopt sasa mi sijashindwa kumlea ila nahis ninapoelekea nakosa choice...kumpelekea ndugu mzigo wa mtoto napo ni mtihani kwa maisha haya..!
Kifupi ni kwamba huyo mwanamke bado unampenda, so sio vibaya mkaona tuu ili kuepuka mtoto kulelewa na baba wa kambo.
 
Ni sawa ndugu mimi ninakuambiq kuwa kama unampenda mtotochukue umlee! Hata kama itakuwa ni tabu kwako lakini fanya hivyo, omba mtu yoyote ambaye una ukaribu naye akusaidie kulea hutajutia nakuambia.

Nilimchukua mtoto wangu kutoka kwa mama yake akiwa na wiki 3 sasa hivi ana mwaka na nusu! Sembuse huyo wa kwako miezi kumi?


Take it as inspiration
Uliishi nae wewe mwenyewe??
 
Kifupi ni kwamba huyo mwanamke bado unampenda, so sio vibaya mkaona tuu ili kuepuka mtoto kulelewa na baba wa kambo.
Hapana ana mapungufu yake ambayo hawez kuwa mke wangu ila alivyonambia ana mimba yangu ikabid nikubaliane na hali ila hakuna uhusiano wowote unaondelea kila mtu aliendelea na maisha yake...ila mtoto ni chata yangu kabisa halina shaka hilo...ndoa yake wala haini umizi wala kuniumiza kichwa nawaza mtoto zaid
 
Miezi 10 mtoto mkubwa sana huyo,kama mama yako yuko hai mpelekee akusaidie kumlea kama haiwezekani mpeleke kwa ndugu yoyote wa karibu.najua wote hawawezi kukataa kukulelea mtoto wa miezi 10 hana usumbufu sana tofauti na angekuwa chini ya miezi 6 lakini uwe tayari kupeleka hela ya kutosha kwa matumizi ya mtoto na uwe unamtembelea mara kwa mara upatapo nafasi
 
Ningekuwa ndugu yako ningekwambia umlete kwangu nikulelee bila shida yoyote,napenda sana watoto!!
 
Sasa kumuoa hutaki unataka nn!?? Kapata mtu wa kumuoa unaaanza kulia lia....
Mwache aolewe bana ata kama angekua na mimba yako....aolewe tu maana ww hutaki kumuoa
 
Hapana ana mapungufu yake ambayo hawez kuwa mke wangu ila alivyonambia ana mimba yangu ikabid nikubaliane na hali ila hakuna uhusiano wowote unaondelea kila mtu aliendelea na maisha yake...ila mtoto ni chata yangu kabisa halina shaka hilo...ndoa yake wala haini umizi wala kuniumiza kichwa nawaza mtoto zaid

Hayo mapungufu uligundua lini mkuu, nadhani ulipaswa kujua kabla ya kufanya naye tendo la ndoa, kwa ufupi huwezi sema ukweli, wewe ni wale wa kukwepa majukumu.
 
Yaani mpaka kaamua kufanya na siri ya kuolewa na mwanaume mwingine hapo kuna shida kubwa upande wako.
Pole sana hapo ni lazima uangalie umekosea wapi
Hatuwezi kujua ameona nini kwako mpaka utueleze ili usaidiwe
Kuna mengi hapo
 
Habari wadau

Kuna mwanamke ambae nilikiwa nae kwenye mahusiano baadae tukatengana baadae akaniambia ana mimba yangu so kuanzia analea mimba had leo mtoto amezaliwa hatuko kwenye mahusiano ya kimapenz wala kupasha kiporo anaishi anaishi kwao na mtoto sasa anataka kuolewa mwez ujao mi sitaki mwanangu alelewe na baba wa kambo ila yeye yupo ok hata nikitaka kumchukua mtoto,mi bado sijaoa mtoto ni mdogo sana kumchukua bado anahitaji kunyonya na mama yake yupo amgekuwa amekufa hapo sawa na nina muhudumia had msichana wa kaz nimemuwekea..nataka kumchukua mtoto wangu nimpeleke wapi ndio nakuna kichwa kwa umri wake ule..!..nq jambo hili alifanya kwa siri nimekuja kujua juz ndoa inakaribia kufungwa

Wapo wamenishauri nimpeleke mtoto ustawi kuna watu wanatafuta watoto wamlee au kuadopt sasa mi sijashindwa kumlea ila nahis ninapoelekea nakosa choice...kumpelekea ndugu mzigo wa mtoto napo ni mtihani kwa maisha haya..!


MCHUKUE UMLEE, KUNA NAMNA AND YOU CAN DO IT, MTOTO USIKUBALI AISHI NA BABA MWINGINE, ANAWEZA PATA TABU SANA!
 
Ingekua vyema tungemsikia na uyo mama kuhsu kutengana kwenu,
Mwanamke ad anabeba mimba jua hesabu zake zimeenda sawa juu yako na kwa namna moja au nyingne amekuamin,
Sizan kama mmetelekezana kirahis hvyo kama ulivyosema!! Nahis ulikataa kuishi nae kutokana na mimba au umekimbia majukum sasa yeye amekosa jinsi, unafikir atafanyaje na kuna mtu anataka amchukue!!?

Uzi wote umebase upande wako, c rahis mwanamke mwenye mimba ad anazaa awe yeye ndio sababu ya kuharbu mahusiano

Binafs nasema umemkosea sana na ukamuombe msamaha na ikiwezekana umuoe ww, sio dunia ya kuzaa zaa ovyo
 
Mwache mtoto akae na mamake kwa sababu hata mme mwenzio ameridhi kuishi na mzazi mwenzio japo ana mtoto mdogo
 
Back
Top Bottom