Anataka kuolewa na mtu mwingine na mtoto wangu ana miezi 10

Anataka kuolewa na mtu mwingine na mtoto wangu ana miezi 10

Sasa kama ww unajiona bado mtoto mbona ulienda kumpa mtu mimba?!


Wacha dada wa watu aolewe ampe mwanae maisha mazuri wewe bado boya tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Habari wadau

Kuna mwanamke ambae nilikiwa nae kwenye mahusiano baadae tukatengana baadae akaniambia ana mimba yangu so kuanzia analea mimba had leo mtoto amezaliwa hatuko kwenye mahusiano ya kimapenz wala kupasha kiporo anaishi anaishi kwao na mtoto sasa anataka kuolewa mwez ujao mi sitaki mwanangu alelewe na baba wa kambo ila yeye yupo ok hata nikitaka kumchukua mtoto,mi bado sijaoa mtoto ni mdogo sana kumchukua bado anahitaji kunyonya na mama yake yupo amgekuwa amekufa hapo sawa na nina muhudumia had msichana wa kaz nimemuwekea..nataka kumchukua mtoto wangu nimpeleke wapi ndio nakuna kichwa kwa umri wake ule..!..nq jambo hili alifanya kwa siri nimekuja kujua juz ndoa inakaribia kufungwa

Wapo wamenishauri nimpeleke mtoto ustawi kuna watu wanatafuta watoto wamlee au kuadopt sasa mi sijashindwa kumlea ila nahis ninapoelekea nakosa choice...kumpelekea ndugu mzigo wa mtoto napo ni mtihani kwa maisha haya..!
Huwez zuia acolewe na hata akienda na mtt hatamnyonyesha 7bu anaish na mwanaume mwngne. Mpelekee mama yko mtt alelewe na bb yake.
 
Wewe mbinafsi kupita maelezo. Unaandika kama hukutaka aolewe ili akulelee mtoto wako. Yaani wewe!! Una bahati sana. Shukuru Mungu wako.
 
Habari wadau

Kuna mwanamke ambae nilikiwa nae kwenye mahusiano baadae tukatengana baadae akaniambia ana mimba yangu so kuanzia analea mimba had leo mtoto amezaliwa hatuko kwenye mahusiano ya kimapenz wala kupasha kiporo anaishi anaishi kwao na mtoto sasa anataka kuolewa mwez ujao mi sitaki mwanangu alelewe na baba wa kambo ila yeye yupo ok hata nikitaka kumchukua mtoto,mi bado sijaoa mtoto ni mdogo sana kumchukua bado anahitaji kunyonya na mama yake yupo amgekuwa amekufa hapo sawa na nina muhudumia had msichana wa kaz nimemuwekea..nataka kumchukua mtoto wangu nimpeleke wapi ndio nakuna kichwa kwa umri wake ule..!..nq jambo hili alifanya kwa siri nimekuja kujua juz ndoa inakaribia kufungwa

Wapo wamenishauri nimpeleke mtoto ustawi kuna watu wanatafuta watoto wamlee au kuadopt sasa mi sijashindwa kumlea ila nahis ninapoelekea nakosa choice...kumpelekea ndugu mzigo wa mtoto napo ni mtihani kwa maisha haya..!
Nimekuelew sana,kweli bado unamuhitaji kwa ajili ya makuzi ya mwanao,kaane chini mmalize tofauti zenu,Maisha mengine yaendelee ya raha na amani
 
Wewe mbinafsi kupita maelezo. Unaandika kama hukutaka aolewe ili akulelee mtoto wako. Yaani wewe!! Una bahati sana. Shukuru Mungu wako.
Mimi sio mbinafsi vip kuhusu mtoto je hajafikrikia mtoto wake aliyemuweka tumboni atakuwaje...
 
Nashukuru nimempata binamu yangu amekubali kubeba hilo jukumu la kuanza safari ya hicho kiumbe..! ..nampwnda mwanangu na sikitaka alelewe na baba wa kambo nimeona watu baadhi wamejibu huko juu hamjasoma uzi vizuri nimesema tuliachana hata before sijajua kama ana mimba yangu na aliponieleza bado nililipokea na mtoto alipozaliwa ni kama nimejitoa photocopy namlea had leo lakin hata baada ya hapo hakuna kilichoendelea...nilikuwa nawaza baada ya hili swala ni makuz ya mtoto na if huyo baba atakuwaje...sina kipingamiz na hiyo ndoa sababu sikuwa na mpango wa kuoa ila mimi nawaza tu maisha ya mtoto baba ake jipo sijamkataa wala kutelekeza..kwa uaonde wangu alijali ndoa hakumfukiria mtoto..ila mtoto anakuwa yatima na wazazi wake wapo..!..ila Mungu anamipango yake itakuwa tu
 
Back
Top Bottom