Anataka kuwa mwanajeshi, vitu gani avizingatie?

Anataka kuwa mwanajeshi, vitu gani avizingatie?

1.Amuombe sana Mungu tena sana,
vinginevyo
2.connection
3.connection
4.connection
 
Mwambie atafute laki ya nauli na lunch aanxe kujifunza udalali wa kuonesha watu bidhaa kaliakoo.kisha afungue akaunti awe anachukua namba za wateja anawaunga wasap group yake .anapost bidhaa .awe muaminifu na asile cha juu kikubwa


Baada ya mwaka atakuwa anawanunulia makanali bia na kuwaibia wapenzi
 
Kuna vitu vingi sana vya kufanya tofauti na kuwa mwanajeshi
 
Kuna dogo amefeli form four kapata division four ya 30.

Anataka aje kujitolea jeshini siku nafasi za kujiunga na JKT zikitoka
Je ana mapenz ya dhati na Jeshi au ni Kwa sababu amefeli ndio anataka kwenda Jeshi ?
 
Jeshi siku hizi siyo sehemu ya kupeleka watu waliofeli... Kwani Sasa hivi jeshi linaendeshwa kisomi...
 
Back
Top Bottom