Mzee wa old school
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 873
- 1,405
Habarini,
Naomba kuuliza kwa wajuvi wa mambo ya uwakala wa Bank mfano kama CRDB, NMB n.k,
Kuna jamaa namfahamu anajishughulisha na Tigo Pesa na M-Pesa, akajiongeza na kwenda kuomba kuwa wakala wa Bank, akapewa fomu na baadhi sehemu zinahitaji udhamini hivyo akaomba nimdhamini kwaa ajili ya hiyo.
Hivyo nina wasiwasi juu ya hilo, naomba mnipe elimu kidogo juu ya hilo.
Naamini nitafahamishwa vyema.
Nawasilisha.
Naomba kuuliza kwa wajuvi wa mambo ya uwakala wa Bank mfano kama CRDB, NMB n.k,
Kuna jamaa namfahamu anajishughulisha na Tigo Pesa na M-Pesa, akajiongeza na kwenda kuomba kuwa wakala wa Bank, akapewa fomu na baadhi sehemu zinahitaji udhamini hivyo akaomba nimdhamini kwaa ajili ya hiyo.
Hivyo nina wasiwasi juu ya hilo, naomba mnipe elimu kidogo juu ya hilo.
Naamini nitafahamishwa vyema.
Nawasilisha.