Anataka nini huyu

mmmmhhh naona huyo anajifanya mtaalum wa danadana...
asikpotezee muda
 
haaaa kweli jamani, utakuwa wewe ndo picha/pacha wangu. aliniambia baba siku moja kwamba sie tukoo wawili....aaaha naskia raaahaaaaa

Huuuureeeeee, finally nimekupata ngoja nimpigie thim anko nimpe habari njema? Vip wazima lakini best!
 
msubiri aje, then panga safari, funga nyumba ondoka. Then zima simu kama unayo ya kichina ( simu) nenda kwene call setting kuna huduma ya ku-blacklist, yaani yeye tu ndo hakupati... ahaaa tutaongea baadae bana

Nashukuru sana
 

Thanx Michelle
 
Huuuureeeeee, finally nimekupata ngoja nimpigie thim anko nimpe habari njema? Vip wazima lakini best!

haya fanya fasta ili npate mtu wa kunilipia kodi ya nyumba...hahahahaaaa yaani mie nateseka mjini jua kali kumbe nina ndugu kibao....
 
Mmh basi amuonee tu huruma....sasa tusemeje kumbe!! Maana hapa mtashauri nyie weeeee, baaadae anaenda kutusemea, wanawake hawa bana

Sema wewe kiazi, nikisema mimi muhogo watasema nina mizizi!!!!
 
haya mie naondoka ofisini naenda sasa kupumzika, fanya hivyo then utatupa feedback, iwayo yoyote, kama utamkubali au utamkatalia basi tujue tufurahi
 
Huyo anakuja kukumega wewe cha kufanya na wewe mkwepe akishuka stand mwambie umesafiri kikazi wiki 2 atie akili eeeh si mpo marafiki sasa aje kwako kufanya nini wkt nyie marafiki
 

Nashukuru kwa ushauri mzuri, kidude cha senks sikioni hapa
 
haya mie naondoka ofisini naenda sasa kupumzika, fanya hivyo then utatupa feedback, iwayo yoyote, kama utamkubali au utamkatalia basi tujue tufurahi

siwezi kumkubali, nilimbembeleza sana kipindi kile ikashindikana, basi tena
 
haya fanya fasta ili npate mtu wa kunilipia kodi ya nyumba...hahahahaaaa yaani mie nateseka mjini jua kali kumbe nina ndugu kibao....

Umepanga! Isijekuwa unaishi uswahilini! kuna nyumba za family utachagua wewe, anko anatamani sana kukuona.
 
siwezi kumkubali, nilimbembeleza sana kipindi kile ikashindikana, basi tena

Huwa mnasema hivi hivi akija kapiga zake pamba na wewe kakuletea fuko la zawadi huwa mnasahau machungu na kusisitiza yaliyo pita si ndwele tugange yajayo jamaa baada ya kukutumia linakuachia maumivu tena.
 
Umepanga! Isijekuwa unaishi uswahilini! kuna nyumba za family utachagua wewe, anko anatamani sana kukuona.
ndio, naishi tandale karibu na local-made seawage system, wala sina hata shida ya perfume, asante mwambie ntampigia kama voda watatoa promosheni
 
Huwa mnasema hivi hivi akija kapiga zake pamba na wewe kakuletea fuko la zawadi huwa mnasahau machungu na kusisitiza yaliyo pita si ndwele tugange yajayo jamaa baada ya kukutumia linakuachia maumivu tena.

Na ukizingatia wamesha achana zaidi ya miezi sita, na dada anaonekana hana mtu mwingine. Kwa hiyo naye ana hamu ya muda mrefu! Tungependa kupata feeback ya hii topic toka kwa huyu dada chimala jamani! Nina mashaka kama atayashinda majaribu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…