Sasa mahari nayo ni kitu cha kudai jamani🤣Si umeona uandishi wake tu na mahari mtarudisha tu
Kakutana na X aliechangamka kiuchumiHawa vipepeo sijui wakoje
😂😂😂Hii imeendaa 😂😂😂 hao viumbe ni matapeli hawana mfano. Kikubwa we jua tu kuwa imeisha hio na huko aliko kwa bibi ni kwa mume mwenzio!
Yeah,sureKwamba ni rahisi kiasi hicho? Utakimbua huku na kule ila lazima uyaor nafasi coz yanaendesha maisha yetu.
una haki kurudishiwa mahali na vyote ulivyopeleka kama ni kwa nia ya promise to marry. pia ana haki kukuacha, hapo hajawa mkeo na ndoa huwa haiingiwi bila consent. kwahiyo hapo dai hela yako endelea kutafuta mwingine.Hello wanajamvi
Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi mkoa x kikazi.. nimekuwa na mahusiano na mwanamke kwa muda wa miaka 5 tumekuwa tukiishi pamoja, mwaka jana nilikwenda kwao na kutoa mahari.
Mwezi uliopita niliomba likizo moja ya vitu tulivyotarajia kuvifanya kipindi hicho cha likizo ni pamoja na kurudi nyumbani mkoa Y kwa ajili ya kusalimia wazazi na kuweka mipango ya ndoa.
Baada ya kulifikisha swala hili kwa mpenzi wangu yeye aliniomba kuwa aende mara moja kwao mkoa Z kumsalimia bibi yake then baada kama ya siku kama 3 atarudi kuungana na mimi.
Nilimpa ushirikiano wote katika safari yake hiyo pamoja na kufanya shopping, na kumlipia nauli, na kuwa na mipango mingi ya kufanya baada ya yeye kurudi na kuungana na mimi.
Cha kushangaza baada tu ya kufika kwao tu nikaanza kunotice hata pattern ya mawasiliano yamebadilika, hanijulii hali, nikimpigia simu anadai yupo busy. Nikimuuliza atarudi lini hanipi majibu ya uhakika.
Baada ya siku kama nne akanipigia simu kuwa anataka kurudi ila atapitia mkoa T kwa rafiki yake ninayemfahamu before kuja kuungana na mimi na kuniomba nimtumie nauli nikafanya hivyo.
Siku ninayotarajia kuwa atakuwa safarini anakuja kuungana na mimi akanitumia sms kuwa anaumwa sana, baadaye akaniambia kuwa amekosa magari ya kuja huku nilipo, ukimpigia simu hapokei lakini wakati wa jioni nikampata kwenye simu katika kumuuliza kuwa anaendeleaje ana mpango gani na hiyo safari akaniambia kuwa kuna ujumbe amenitumia kwenye simu.. kucheki ule ujumbe alikuwa ameandika kuwa anaona ni wakati umefika wa kumaliza mahusiano yetu.
Hivi sasa hapa nyumbani walikuwa wanamsubiria kwa ajili ya kudiscuss naye kuhusu swala la ndoa na tayari nimekwishalipa mahari kwao.
Hapa nipo kwenye dilema sijui la kufanya nimezungumza na mama yake na yeye anashangaa anajaribu kuwasiliana naye ila hapokei simu zake.
Huyu mpenzi wangu sijawahi kuwa na ugomvi wowote mkubwa tumekuwa tukiishi vizuri tu.
kimbiaHuenda hauko kwenye mipango yake I mean si mwanaume wa ndoto zake,alikuwa nawe kwa ajili ya kusogeza siku tu na hayo mambo ya ndoa ndio yamemvuruga kabisa...
Usiforce kijana,hiyo ndoa itakuja kukutesa vile hukutegemea
Kimbia kama umeona haramia.
nimescreen shotTufikie hatua mapenzi tusiyaweke kipaumbele sana,kujiumiza tu[emoji57]
Mshukuru sana kwa kukupa ukweli na uhalisia then samehe endelea na mambo mengineHello wanajamvi
Mimi ni kijana wa miaka 30, ninaishi mkoa x kikazi.. nimekuwa na mahusiano na mwanamke kwa muda wa miaka 5 tumekuwa tukiishi pamoja, mwaka jana nilikwenda kwao na kutoa mahari.
Mwezi uliopita niliomba likizo moja ya vitu tulivyotarajia kuvifanya kipindi hicho cha likizo ni pamoja na kurudi nyumbani mkoa Y kwa ajili ya kusalimia wazazi na kuweka mipango ya ndoa.
Baada ya kulifikisha swala hili kwa mpenzi wangu yeye aliniomba kuwa aende mara moja kwao mkoa Z kumsalimia bibi yake then baada kama ya siku kama 3 atarudi kuungana na mimi.
Nilimpa ushirikiano wote katika safari yake hiyo pamoja na kufanya shopping, na kumlipia nauli, na kuwa na mipango mingi ya kufanya baada ya yeye kurudi na kuungana na mimi.
Cha kushangaza baada tu ya kufika kwao tu nikaanza kunotice hata pattern ya mawasiliano yamebadilika, hanijulii hali, nikimpigia simu anadai yupo busy. Nikimuuliza atarudi lini hanipi majibu ya uhakika.
Baada ya siku kama nne akanipigia simu kuwa anataka kurudi ila atapitia mkoa T kwa rafiki yake ninayemfahamu before kuja kuungana na mimi na kuniomba nimtumie nauli nikafanya hivyo.
Siku ninayotarajia kuwa atakuwa safarini anakuja kuungana na mimi akanitumia sms kuwa anaumwa sana, baadaye akaniambia kuwa amekosa magari ya kuja huku nilipo, ukimpigia simu hapokei lakini wakati wa jioni nikampata kwenye simu katika kumuuliza kuwa anaendeleaje ana mpango gani na hiyo safari akaniambia kuwa kuna ujumbe amenitumia kwenye simu.. kucheki ule ujumbe alikuwa ameandika kuwa anaona ni wakati umefika wa kumaliza mahusiano yetu.
Hivi sasa hapa nyumbani walikuwa wanamsubiria kwa ajili ya kudiscuss naye kuhusu swala la ndoa na tayari nimekwishalipa mahari kwao.
Hapa nipo kwenye dilema sijui la kufanya nimezungumza na mama yake na yeye anashangaa anajaribu kuwasiliana naye ila hapokei simu zake.
Huyu mpenzi wangu sijawahi kuwa na ugomvi wowote mkubwa tumekuwa tukiishi vizuri tu.
Aking'ang'ania atapa tabu bora Mungu amekuepushia na mipreshaWewe tulia warudishe mahali yako tu .uyo mbona ata kuja kulia lia mbele ya safari
point to noteMkuu unataka Mungu akusaidieje zaidi ya hapo? Unataka nini mkuu?
Yaani ni vile tu unejawa feelings zinaondoa uhalisia wa akili. USIMLAZIMISHE PLEASEEEEEEEE! Atakutesa milele!
Mkubalie kuachana japo inauma. Mkubalie mkuu amini nakwambia
Shida ni kwamba ulikuwa hujaingia kwenye mfumo wake. Kashapata aliyeingia kwenye mfumo wake, achana nae. Atarudi kwako kwa magoti baadae.
Kama ubinadamu wako umefikia asilimia 70 kwenda juu achana na hiyo mahari, potezea tu ila ikiwa vipi idai tu japo kuidai hiyo mahari ni kutafuta kuendelea na mawasiliano nae na ndugu zake tu